• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Sekta ya Biashara na Viwanda


1.1 SEKTA YA BIASHARA.

Mojawapo ya shughuli za kiuchumi zinazowapatia wananchi kipato na mahitaji yao ni kupitia biashara za aina mbalimbali. Baadhi ya biashara hizo ni pamoja na biashara za jumla, rejareja, viwanda, usafiri na usafirishaji, shughuli za utalii na hoteli na nyinginezo.

 

Jedwali Na. 1: Shughuli za Viwanda na Biashara Mkoani Mwanza

Na.
Shughuli
2015/16
         2016/17

Ongezeko

1
Wafanyabiashara wenye leseni
16,308

22,652

5,317

2
Viwanda vikubwa na vya kati
81

87

6

3
Masoko
44

44

0

4
Maghala
14

17

3

4
Elimu ya Biashara na ujasiriamali
2,485

5,431

2,946

5
Taasisi za fedha
27

29

2


Jedwali Na. 2: Mapato ya Ada za Leseni  na vyanzo vingine Mkoa wa Mwanza kwa Mwaka 2016/17.


Na

Halmashauri

Idadi ya Leseni

Ada za Leseni

Ushuru wa Hoteli

Ada za Vileo

1.

Jiji

9,203
1,600,599,216
175,923,226
47,832,463

2.

Ilemela

6,128
717,601,557
261,477,700
45,388,390

3.

Buchosa

2,715
91,859,050
22,090,980
5,859,300

4.

Ukerewe

1,179
80,888,891
0
6,767,725

5.

Magu

708
47,818,544
24,691,254
8,577,000

6.

Kwimba

1,005
72,540,840
0
3,182,000

7.

Sengerema

784
84,290,000
0
2,840,000

8.

Misungwi

933
45,013,853
7,280,000
3,480,000

        Kimkoa

22,652
2,740,611,951
492,463,160
492,463,160


 

 

1.2 SEKTA YA VIWANDA

Kwa mujibu wa sera ya viwanda na biashara ya Mwaka 2003 na mazingira ya Tanzania jedwali lifuatalo linaonesha makundi ya Viwanda ili kubaini viwanda vidogo sana, viwanda vidogo, viwanda vya kati na viwanda vikubwa.

Na
Makundi ya Viwanda

Idadi ya wafanyakazi

Mtaji wa uwekezaji (Milioni)

1
Kiwanda kidogo sana

1 hadi 4

1 hadi 5

2
Kiwanda kidogo

5 hadi 49

5 hadi 200

3
Kiwanda cha kati

50 hadi  99

200 hadi 800

4
Kiwanda kikubwa

100 na zaidi

800 na zaidi


              Viwanda vya kati na vikubwa vilivyopo Mkoani Mwanza.

Na.

Halmashauri

Idadi ya Viwanda

1

Jiji

22

2

Ilemela

30

3

Magu

16

4

Kwimba

6

5

Sengerema

4

6

Buchosa

4

7

Ukerewe

10

8

Misungwi

6

=

Jumla

92


             Viwanda vidogo na vidogo sana vilivyopo Mkoani Mwanza.

Na.

Halmashauri

Idadi ya Viwanda

1

Jiji na Ilemela

378

2

Magu

102

3

Kwimba

16

4

Sengerema na Buchosa

52

5

Ukerewe

27

6

Misungwi

14

=

Jumla

589

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti