• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

BARABARA YA LAMI YANOGESHA UTALII KUELEKEA MAKUMBUSHO YA BUJORA

Posted on: September 18th, 2024

BARABARA YA LAMI YANOGESHA UTALII KUELEKEA MAKUMBUSHO YA BUJORA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali kupitia Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Wilayani Magu imejenga barabara ya kiwango cha lami nyepesi Kisesa -Bujora yenye kilomita 1.23 kwa zaidi ya Tshs. Bilioni 1.4 ambayo itachochea utalii kuelekea kituo cha Utamaduni cha Bujora na Makumbusho ya kabila la Wasukuma.

Amebainisha hayo leo Septemba18, 2024 wakati akikagua mradi huo muhimu kwenye eneo la Bujora ambapo amefafanua kuwa pamoja na kuchagiza utalii itasaidia pia kurahisisha huduma ya usafiri na usafirishaji wa abiria na mazao ya kilimo kwa wananchi wa Bujora, Kanyama na Kisesa Wilayani Magu.

Aidha, Mhe. Mtanda ametoa wito kwa wananchi kuitunza miundombinu hiyo na kuhakikisha inakua kwenye hali ya usafi wakati wote na akawaagiza TARURA kuweka taa za barabarani kwenye eneo lililobaki ili kuwahakikishia wananchi usalama wakati wanaitumia barabara hiyo.

Awali akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Meneja wa TARURA wilaya ya Magu Mhandisi Musa Mzimbili amefafanua kuwa mradi huo ambao umekamilika tangia 2023 umehusisha ujenzi wa barabara, mitaro ya maji, vivuko vya watembea kwa miguu, makaravati pamoja na taa 400.

Katika wakati mwingine, Mkuu wa Mkoa amekagua ujenzi wa wodi ya wazazi katika kituo cha Afya Nyanguge inayojengwa kwa zaidi ya Milioni 250 za mapato ya ndani ambapo ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Magu kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ili kusaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti