• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

BARAZA LA FAMASI SIMAMIENI TAALUMA KWA WANANCHI:RAS MWANZA

Posted on: September 9th, 2024

BARAZA LA FAMASI SIMAMIENI TAALUMA KWA WANANCHI:RAS MWANZA


Bodi mpya ya Baraza la Famasi nchini imeshauriwa kusimamia vizuri taaluma kwa wananchi ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika ya utumiaji wa dawa kiholela bila kufuata misingi sahihi.


Mbali na hilo Bodi hiyo pia imetakiwa kuimarisha ushirikiano na Ofisi ya mkuu wa mkoa pamoja na kuweka utaratibu wa kuhakiki dawa mara kwa mara ili mtumiaji awe salama wakati wote.

Rai hiyo imetolewa leo Septemba 9,2024 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ndugu Balandya Elikana alipofanya mazungumzo mafupi na uongozi wa Bodi hiyo Ofisini kwake ikiongowa na Mwenyekiti wake Bw.Jaffari Liana na Msajili Boniface Magige walipofika kujitambulisha.


"Hongereni kwa uteuzi wenu wa hivi karibuni,ni imani yangu mnakuja na mageuzi chanya kwenye eneo lenu mkizingatia mnahusika na jambo nyeti katika maisha ya mwananchi la utumiaji wa dawa kwa usahihi.


Balandya amebainisha sehemu nyingi kwenye duka za dawa anakuwepo muhudumu ambaye hana taaluma husika hali ambayo ni hatari kwa maisha ya binadamu.

"Wekeni mkazo wa mtu anayekuja kununua dawa awe na cheti chenye maelekezo ya Daktari hii itaepusha kutoa dawa kwa mtu anayekwenda kufanyia matumizi yasiyo lengwa,"amesisitiza mtendaji huyo wa Mkoa.


Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw.Jaffary Liana amebainisha ujio wao ni ziara wanaofanya kwenye Ofisi zao zote za Kanda kujionea shughuli zao na kutoa maelekezo.


"Tukiwa mkoani hapa tutakutana pia na Wafamasia wa Mkoa na kupeana maelekezo yote ya kitaalamu ili kuhakikisha kunakuwepo na muendelezo wa utoaji wa huduma bora kwa mwananchi,"Boniface Magige,Msajili wa Bodi

 Jukumu la msingi la Baraza la Famasi nchini ni kusajili wanataaluma wa fani ya famasi pamoja na kusimamia utendaji kazi wao katika maduka ya dawa na hospitali za umma na binafsi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti