• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

BODABODA MWANZA WALAANI MAANDAMANO YA CHADEMA YA FEBRUARI 15

Posted on: February 14th, 2024

BODABODA MWANZA WALAANI MAANDAMANO YA CHADEMA YA FEBRUARI 15


*Wasema wanajivunia kazi yao kwenye utulivu na amani*


*Wasema wanaomboleza msiba wa aliyekuwa Waziri Mkuu*


 *Walaani kiongozi wa CHADEMA kuita bodaboda ni kazi ya laana*


Waendesha Pikipiki (Bodaboda) Jijini Mwanza wamelaani maandamano yanayoratibiwa na Chama cha Demekrasia na Maendeleo (CHADEMA) yanayotarajiwa kufanyika Mkoani Mwanza mnamo tarehe 15/02/2024 huku wakibainisha kuwa hayana afya kwa Taifa.


Wamesema, hawako tayari kuandamana badala yake wataendelea kushiriki kikamilifu maombolezo ya siku 5 yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia kifo cha aliyekua Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Edward Lowassa na si mambo mengine ambayo hayana uungwana.

Makamu Mwenyekiti wa Bodaboda Mwanza John Razaro amesisitiza kwa kusema kuwa hawawezi kuandamana kutokana na msiba wa kiongozi ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa.

Vilevile, wamesema kwa sauti moja wanalaani vikali maandamano hayo na kuahidi kutojihusisha nayo kabisa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo pia kauli iliyotolewa na kiongozi wa upinzani siku za nyuma ikieleza kuwa kazi ya bodaboda ni kazi ya laana.

"Kuna kiongozi aliwahi kusema kuwa bodaboda ni kazi ya laana hivyo haifai kufanywa na binadamu, kauli hii ilituumiza sana na hatuwezi kuungana na watu ambao wameona kazi yetu ni ya laana ikiwa kazi hii inasaidia maisha ya familia zetu’’ , Lazaro.

Naye, Mororo Daniel ambaye ni mmoja wa wanachama wa umoja wa bodaboda Buhongwa ameeleza kuwa haoni tija ya kujiingiza katika maandamano hayo kwani Serikali imekuwa ikifanya mambo mengi mazuri ambayo wananchi wamekuwa wakinufaika nayo ikiwemo ujenzi wa hospitali, shule pamoja na miundombinu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti