• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

BODABODA MWANZA WASEMA HAWATAANDAMANA JANUARI 24

Posted on: January 20th, 2024

BODABODA MWANZA WASEMA HAWATAANDAMANA JANUARI 24


*Wasema shughuli yao inawapatia fedha za kuendesha familia na uchumi*


*Wasema hawataki madhara yatokanayo na maandamano*


*Wamshukuru Rais Samia kwa kuboresha barabara kupitia TARURA*


*Waishukuru Serikali kwa kupunguza faini ya adhabu kutoka elfu 30 hadi elfu 10*


Mwenyekiti wa Chama cha waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoani Mwanza Makoye John amesema Jumuiya hiyo inalaani vikali maandamano yaliyopangwa na vyama vya upinzani kwamba yatafanyika kwenye sehemu mbalimbali nchini Januari 24, 2024.

Ametoa kauli hiyo mapema leo Januari 20, 2024 jijini Mwanza wakati wa mkutano wa umoja wa Jumuiya hiyo na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye viwanja vya Jiwe la Bismark ulio kwenye fukwe za ziwa victoria.

Amesema, shughuli yao inayowajumuisha zaidi ya wanachama 230,000 inawaingizia kipato na kuimarisha uchumi wao na kwamba hawako tayari kuathiri shughuli yao yenye tija kwa kujihusisha na maandamano ambayo yana athari kubwa kwenye amani.

"Mwanza hakuna matukio ya uvunjifu wa amani, sisi kama chama halali kilichosajiliwa na kufuata miongozo ya Wizara ya Mambo ya ndani hatupo tayari kuingia kwenye maandamano kwani tunajua madhara yake." Amesisitiza Mwenyekiti.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Joseph Msabila amesema hawatoshirki maandambano kwa maslahi ya wanasiasa wala kwa kushawishiwa na mtu na kwamba wataendelea na shughuli yao halali kwa maslahi ya familia na Taifa zima.

Mhamasishaji Abdalah Mzamiru ametumia wasaa huo kumshukuru Rais Samia kwa kupunguza faini ya makosa ya adhabu kutoka elfu 30 hadi elfu 10 na kutengeneza barabara kupitia TARURA na TANROADS kwani zinawapa usalama vya vyombo vyao na mazingira rafiki ya usafirishaji abiria.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti