• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI MWANZA:RAS BALANDYA

Posted on: June 14th, 2024

CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI MWANZA:RAS BALANDYA


Kampuni za simu nchini zimeshauriwa kuwekeza katika mkoa wa Mwanza kwa lengo la kuuza bidhaa zao ili kuweza kuinua mawasiliano kwa wakazi wa mkoa huo.

Rai hiyo  imetolewa leo Juni 14,2024 na Katibu Tawala Msaidizi,Mipango na Uratibu Bw.Henry Mwaijega kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza wakati wa ufunguzi wa duka la kampuni ya simu ya Tecno katika eneo la Nyerere road.

Mwaijega amesema kwa upande wa uwekezaji wa maduka ya kampuni za simu katika mkoa wa Mwanza bado maduka mengi yapo katika maeneo ya Mwanza mjini haswa Wilaya za Ilemela na Nyamagana.

Ameshauri ni vyema makampuni ya simu yafunge maduka ya bidhaa zao katika maeneo ya wilaya za Sengerema na Ukerewe ili kufikisha huduma za mawasiliano kwa wakazi wengi zaidi katika mkoa wa Mwanza.

‘’ Kampuni za simu zinapofungua maduka ya bidhaa zao katika maeneo tofauti hapa katika mkoa wa Mwanza, inasaidia kuweza kutengeneza ajira katika sehemu husika pamoja na kukuza mawasiliano na kuinua uchumi’’ amesema Mwaijega

Amesema Rais Samia Suluhu amewezesha mazingira mazuri ya uwekezaji, hivyo wawekezaji wasiogope kujitokeza na kuwekeza.

Katika hatua nyingine, Mwaijega ameipongeza kampuni ya simu ya Tecno kwa kuweza kuleta bidhaa bora na za bei nafuu na kila mmoja anaweza kununua.

Amesema  Sekta ya Mawasiliano nchini ni moja ya sekta muhimu sana katika kuweza kuinua uchumi.

Naye meneja wa kampuni ya simu ya Tecno Kanda ya Ziwa, Edward Mathias amesema kuwa kampuni yao imefanikiwa katika mwaka huu kufungua maduka mbali mbali ya bidhaa zao katika maeneo ya Zanzibar,Mwanza Dodoma na Mbeya.

Amesema kampuni yao inauza simu mbalimbali pamoja na laptop

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti