• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

DC UKEREWE AWATAKA WAJASIRIAMALI KULITUMIA JUKWAA LA NANENANE KUJA NA MAGEUZI CHANYA YA KILIMO

Posted on: August 2nd, 2024

DC UKEREWE AWATAKA WAJASIRIAMALI KULITUMIA JUKWAA LA NANENANE KUJA NA MAGEUZI CHANYA YA KILIMO


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mh.Chtustopher Ngubiagai amefurahishwa na mwamko wa wajasiriamali waliojitokeza kwenye maonesho ya Nanenane Mwanza na kuwataka kuyatumia ili kuzidi kuelimika katika shughuli zao mbalimbali za kiuchumi.

Mkuu huyo wa Wilaya akiambatana leo Agosti 2,2024 na mkuu wa Idara ya Uchumi na Uzalishaji kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Bw.Emil Kasagara amesema amejionea Taasisi mbalimbali zilivyojipanga kuwaelimisha wajasiliamali na wananchi kwa ujumla namna ya kufanya shughuli zao kitaalamu.

"Nimepitia kwenye baadhi ya bustani za mazao mbalimbali nimefurahishwa sana namna ya ustawishaji wa mazao kama mahindi na miti ya mitunda inavyolimwa kitaalamu kuanzia upatikanaji wa mbegu bora",amesema Mkuu huyo wa Wilaya mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mabanda ya Nanenane.

Mkuu huyo wa Wilaya amebainisha hivi sasa pesa ya uhakika ipo shambani ukiamua kuwa mkuiima wa mazao au mfugaji kwani kila kitu sasa kinafanyika kwa utaalamu wenye tija na siyo kama zamani kufanya shughuli kwa mazoea,"Mhe. Ngubiagai

Amewapongeza waandaaji wa maonesho hayo ambayo ni mikoa mitatu kutoka Kanda ya ziwa magharibi Mwanza,Geita na Kagera kwa kuzidi kuinua shughuli za kiuchumi kwa wananchi kwani ndiyo nia ya Rais Samia ya kuona wananchi wanazidi kusonga mbele katika maendeleo yao.

Naye Bw.Kasagara amebainisha maonesho ya mwaka huu wameyapa hamasa ya kutosha kwa kuanza kuyatangaza kuanzia mwanzoni mwa Julai ili wananchi wapate uelewa wa kutosha na kujitoleza kwa wingi.

"Kwenye maonesho haya kuna kila aina ya huduma zinazotolewa na Taasisi mbalimbali zikiwemo za kifedha kwa wale wafanyabiashara kuanzia wa chini,kati hadi wa juu watapata fursa za kuelimishwa namna ya kuendesha shughuli zao kitaalamu na upatikanaji wa mikopo kwa unafuu,"Kasagara

Maonesho hayo yaliyobeba kauli mbiu isemayo Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo endelevu ya Mifugo,Kilimo na Uvuvi, yatafunguliwa rasmi Agosti 3,2024 na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Martin Shigella.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti