• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Halmashauri ya Ilemela yatakiwa kubuni wigo wa ukusanyaji wa Mapato

Posted on: August 4th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Adam Malima amewataka viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kuwa wabunifu ili kuongeza wigo wa Ukusanyaji wa Mapato ya ndani kwa kuzingatia asili na aina ya vyanzo vilivyopo ili kuwa na uwezo mkubwa wa hudumia wananchi.

Ametoa agizo hilo leo Agosti 04, 2022 wakati akizungumza na viongozi, watumishi na wadau wa maendeleo wilayani humo alipofika akiwa katika ziara ya kujitambulisha na kupata taarifa ya Maendeleo.

"Mnapopata nafasi ya kutumikia wananchi kwenye wilaya kama hii mjue mna dhamana kubwa kutokana na ukubwa wa vyanzo vyenu vya mapato hivyo wanaoshughulika na Ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri ni lazima watafakari hizi Bilioni 13 mlizokadiria kukusanya vyanzo vyake viko wapi na mnazipataje" Mkuu wa Mkoa.

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe. Hassan Masala amesema kuwa kwa kipimdi cha mwaka 2021/22 Halmashauri iIikadiria kukusanya Tshs Bilioni 9 kutoka mapato ya ndani na wamekusanya zaidi ya Tshs Bilioni 10 na kwamba mwaka 2022/23 wameweka Malengo ya kukusanya zaidi ya Tshs. Bilioni 13.

"Tunavyo vituo vya kukusanyia taka ngumu 16 katika maeneo mbalimbali na tunaendelea kuboresha huduma za Usafi na mazingira hasa kwenye maeneo ya Mji na wananchi wa eneo hili wanajihusisha na sekta ya Uvuvi ambapo tuna mialo 15 na soko la kimataifa la Mwaloni Kirumba." Mhe. Masala amefafanua.

Aidha, amebainisha kuwa uongozi wa Wilaya hiyo unaendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuboresha huduma na kutatua changamoto kwenye maeneo ya kama ya Mazingira, Elimu, Afya, Ardhi na Sekta ya Miundombinu ambapo mtandao wote wa Barabara upatao Kilomita 875 unapitika.

"Ndugu zangu, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, tunachohitaji kwenye ni ushirikiano ili tusonge mbele, tuchape kazi na tuwatumikie wananchi kwa kutoa huduma zilizotukuka twende sambamba na adhma ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake." Amesema, ndugu Balandya Elikana, Katibu Tawala wa Mkoa ame

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, Mhandisi Modest Apolinary amemuahidi Mkuu wa Mkoa ushirikiano wa dhati na kwamba wao kama taasisi watatekeleza maelekezo yatayotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ustawi wa wananchi wa Ilemela.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti