• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Hati za kusafiria za kielektroniki zazinduliwa Mwanza

Posted on: August 13th, 2018


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewaagiza maafisa Uhamiaji kufanya kazi kwa uadilifu kwa kufuata sheria, taratibu na miongozo iliyowekwa na serikali kwa kutoa huduma stahiki .


Hata hivyo alisema pasipoti za zamani zitaendelea kutumika hadi January 2020 ambayo ndiyo itakuwa mwisho wa matumizi yake hivyo maafisa hao waendelee kutoa huduma stahiki zinazofaa kwa kutoa elimu kwa wananchi ili kuona umuhimu wa vitambulisho hivyo .


Kwa upande wake Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoa wa Mwanza Paul Eranga alisema katika zoezi hilo wameyafanyia kazi maombi 30,941 hivyo aliwataka wananchi kuchangamkia fursa kwani mfumo huo ni rahisi ambapo mtu anaweza kupata pasipoti kwa muda mfupi.


"Tunaomba Wananchi watoe taarifa mapema pindi watakapokuwa na wasiwasi na mtu kuwa siyo raia ili sisi tuweze kubaini suala hilo ,pia mwishoni mwa mwaka huu tutakuwa tumeshughulikia maombi ya mikoa yote," alisema Eranga.

 Naye mkuu wa wilaya ya Nyamagana. Mhe.Dkt. Philis Nyimbi amewataka wananchi kutunza pasipoti hizi ili kuepukana na gharama zisizo za lazima kwani serikali imegharimia zoezi hilo.

" Kuchukua fomu ni sh. 20,000 ukikubaliwa maombi kama unasifa zilizobainishwa na serikali utalipia 130, 000 endapo ukipoteza kwa mara kwanza itakulazimu kulipia sh. 500,000 kwa mara ya pili utalipia 750,000 ,nawaomba mchangamkie fursa hii ili muweze kupata pasipoti   na kuweza kusafiri na kutangaza utalii wa nchi," alisema Dkt. Philis.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti