• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Jamii Yaaswa kuacha ukatili dhidi ya wenye Ualubino

Posted on: June 24th, 2019

Jamii imetakiwa kutonyamazia na kuficha watu wanaofanya ukatili kwa watu wenye ualibino ukiwemo ukatwaji  viungo.

Akiongea mara baada ya kuzindua kambi (summer camp) kwa ajili ya wanafunzi wenye ualbino kujifunza vitu mbalimbali, michezo na kujuana, Muasisi na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Under The Same Sun(Utss) Peter Ash alisema takwimu ambazo wanazo za mauaji na mashambulizi kwa watu wenye ualibino ni chache kulinganisha na uhalisia wa matukio yanayotokea kwenye jamii.

Alisema kwa data walizokusanya mwaka 2008 kulikuwa na mauaji na shambulizi 40, mwaka 2018 mashambulizi nane na mwaka 2019 mwanzoni yalitokea mashambulizi mawili.

 "Mara nyingi matukio hayo hayatolewi taarifa kwa sababu watu wa familia hizo uhusika, japo yamepungua hatuwezi kufurahia hadi idadi itakapofika sifuri"alisema Ash


Akizungumzia uamuzi wa kuweka kambi ya wanafunzi kwenye chuo cha ualimu Butimba, Mchungaji kutoka Canada, Pastor Brad Samour alisema lengo la kambi hiyo ni kuwapatia fursa wanafunzi ya kujua vipaji vyao.


"Tunawapatia nafasi ya kufanya sanaa, michezo, kujifunza kwa vitenda na wengi wana vipaji" alisema


Wanafunzi walioudhuria kambini Semeni Eliakimu na Benedictor Felcian waliitaka jamii kuachana na imani kuwa watu wenye ualbino hawawezi kifanya vitu vya msingi kwani wanao uwezi kama wengine.


"Jamii yetu tunakuwa ni watu tunaodharaulika sana, kuwa hatuwezi kitu chochote lakini nakanusha. Sisi ni watu kama watu wengine na tunaweza kutimiza malengo na ndoto zetu",alisema Eliakimu

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti