• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

JAMII YATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: July 4th, 2025

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -TAMISEMI (Afya) Prof. Tumaini Nagu amewasihi wananchi kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote ili kujihakikishia matibabu bora na haraka pindi wapatapo changamoto za kiafya.

Ametoa wito huo leo Julai 04, 2025 akiwa ofisini kwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza alipofika kusalimia kufuatia ziara yake ya kikazi ya siku mbili atakayoifanya Mkoani humo kwa ukaguzi wa miundombinu na huduma za afya.


Prof. Nagu amesema serikali inaendelea kuboresha huduma za afya nchini kwa kutenga fedha nyingi kwenye ununuzi wa dawa, vifaa tiba pamoja na kuajiri wataalamu lakini jamii lazima ijenge utamaduni wa kuchangia gharama za matibabu.

“Serikali inawajali sana wananchu wake, zaidi ya Tshs. Bilioni 200 zinatolewa kila mwezi kuendesha sekta ya Afya, mathalani vifaa kama CT Scan ambazo zinahitaji umeme wakati wote na ukarabati wa vifaa tiba sasa kwanini wananchi wasiunge mkono kusaidia hilo.” Prof. Nagu.


Aidha, amezitaka hospitali za rufaa kuvilea vituo vya chini kwa kutoa mrejesho wa matibabu wanayoyatoa kwa wagonjwa waliowapokea na namna ya kuboresha mfumo wa mawasiliano ili kuhakikisha vifo vya mama na mtoto vinakomeshwa nchini.


Vilevile, amebainisha mpango wa serikali wa kuendelea kuajiri na kuboresha makazi ya watumishi wa sekta hiyo kuwa ni endelevu na akatoa wito kwa halmashauri kusaidia pia kwenye eneo hilo kwa kutukia mapato ya ndani.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti