• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

JAPAN YAJIVUNIA MAHUSIANO MAZURI YA KIDIPLOMASIA NA TANZANIA

Posted on: October 30th, 2024

JAPAN YAJIVUNIA MAHUSIANO MAZURI YA KIDIPLOMASIA NA TANZANIA


Balozi wa Japan Nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa amesema Serikali ya nchi yake imekuwa ikijivunia mahusiano thabiti na imara ya kidiplomasia kati ya nchi hiyo na Tanzania hali iliyopelekea kusaidia kuboresha sekta za miundombinu, afya, kilimo na Uvuvi kwa wananchi wa Tanzania.

Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 30, 2024 wakati wa kikao kifupi cha utambulisho na ukaribisho kilichofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kufuatia kuwasili kwake Mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku 2.

Balozi huyo amesema, Japan  wanajisikia fahari kuwa sehemu ya uimarishaji wa mifumo ya utoaji huduma bora kwa wananchi wa Tanzania na kuahidi kuhakikisha anasimamia muendelezo wa uhusiano huo mwema wa kidiplomasia ambao umedumu kwa miaka mingi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amesema Mwanza ni mashahidi wa manufaa ya mahusiano ya nchi hizo mbili kupitia miradi mikubwa inayotekelezwa kwa ushirikiano kama vile masoko ya samaki na miundombinu ya afya.

Mhe. Ludigija ameishukuru serikali ya Japan kwa kuendelea kuwa sehemu ya ukuaji wa uchumi wa mkoa huo na kwamba umekua ukichangia kwa zaidi ya asilimia saba kwenye pato la taifa kwa sasa na kuna viashiria vya kuongezeka.

Mhe. Balozi Misawa ametembelea Soko la Samaki la Kirumba pamoja na mwalo wa Mswahili na kesho atatembelea hospitali ya Sumve ambapo atakabidhi jengo la Mama na Mtoto lililojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Japan.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti