• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Kamati ya amani Mwanza Yatoa Tamko kuelekea Uchaguzi Mkuu

Posted on: October 26th, 2020

Kamati ya Amani ya viongozi wa dini mkoani Mwanza imeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutenda haki kuelekea uchaguzi mkuu unao tarajiwa kufanyika Jumatano tarehe 28 octoba 2020.

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo, Askofu Dkt Charles Sekelwa alipo kuwa akitoa tamko la viongozi wenzake kwa waandishi wa habari leo jijini mwanza.

“Tume ya Taifa ya Uchaguzi itende haki kwa vyama na wagombea wote. Ihakikishe vituo vyote vya kupiga kura vinafunguliwa mapema na huku vituo hivyo vikiwa na vifaa vyote vinavyohitajika bila kusahau mahitaji ya watu wenye uhitaji maalum”, alisema Askofu Sekelwa.

Kamati hiyo pia  imewaomba wagombea na wananchi wote kukubali matokeo kwani katika ushindani ni lazima apatikane mshinda na atakayeshindwa, na hii kuepusha vurugu zitakazo pelekea uvunjifu wa Amani.

“Amani ikitoweka itaathiri watu wote bila kujali aliyeianzisha, aliyehamasisha na atakayeivunja kwani hakutakuwa na shughuli zozote kiuchumi zitakazoweza kufanyika,biashara hazitafanyika, shule, hospital hakuendeki, usafiri hautokuwepo kwani vituo vya mafuta havitafanya kazi”, Aliongeza.

Naye Sheikh Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke akizungumza katika mkutano huo amewataka wazazi wakae na vijana wao na kuwaelezea umuhimu wa amani na kujizuia kuingia katika mambo yoyote yanayoweza kuleta vurugu na kupelekea uvunjifu wa amani.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti