• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

KAMBI YA MAGONJWA YA MASIKIO, PUA NA KOO YAZINDULIWA RASMI SEKOU TOURE

Posted on: November 15th, 2024

KAMBI YA MAGONJWA YA MASIKIO, PUA NA KOO YAZINDULIWA RASMI SEKOU TOURE


Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu Bw. Daniel Machunda amezindua utoaji wa huduma ya masikio, pua na koo, inayofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure ikishirikiana na jumuiya ya wataalamu wa Magonjwa hayo Tanzania.

Akizindua huduma hizo Novemba 15, 2024 Bw. Machunda amesema kutokana na shida kubwa kwenye jamii wameandaa utoaji wa huduma za Kibingwa na Kibingwa Bobezi za masikio, pua na koo zinazotolewa kuanzia Novemba15 -16  2024.

Ameongeza kuwa huduma hii itakuwa suluhisho kwa wagonjwa wenye changamoto ya masikio, pua na koo na kuwasihi wananchi wajitokeze kwa wingi ili kupata huduma bora na staha kwa ajili ya ustawi mzuri wa wananchi.

Sambamba na hilo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amesema magonjwa hayo  yameendelea kuwasumbua wananchi wengi hivyo amewahimiza wananchi wenye changamoto hiyo kufika katika Hospitali ya Sekou Toure na kupata matibabu.

"Niwaombe wagonjwa wenye changamoto za masikio, pua na koo wafike na wapate matibabu kutoka Kwa Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa masikio, pua na koo." Dkt Jesca Lebba

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sekoutoure Dkt. Englebert Rauya amemshukuru uongozi wa jumuiya ya wataalamu wa magonjwa ya masikio, pua na koo Tanzania waliofika katika Hospitali ya Sekoutoure kwa kutaka huduma ya matibabu kwa wagonjwa waliojitokeza na kuwahakikishia huduma nzuri na za haraka.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti