• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

KAMPENI YA PAMBA DAY YAZIDI KUPAMBA MOTO,TAWI LA WANACHAMA LAFUNGULIWA BUCHOSA

Posted on: August 2nd, 2024

KAMPENI YA PAMBA DAY YAZIDI KUPAMBA MOTO,TAWI LA WANACHAMA LAFUNGULIWA BUCHOSA


Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya siku inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Jijini Mwanza,Pamba Day,kampeni yake imezidi kuwabamba mashabiki baada ya kufunguliwa tawi jipya huko Buchosa wilayani Sengerema.

Tawi hilo la mashabiki wa Pamba Jiji FC limefunguliwa leo Agosti Mosi,2024 na katibu Tarafa wa kata ya Kahunda,Joseph Kapunda kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo na kusisitiza huo ni muendelezo wa kufunguliwa matawi zaidi  wilayani humo.

"Tuna wajibu wa kushikamana kwa vitendo kuiunga mkono timu yetu ya Pamba Jiji FC ambayo mbali na burudani imekuja kuinua uchumi wa mkoa wetu,"Kapunda.

Amesema siku ya Pamba Day itadhihirisha furaha ya mashabiki kwa timu yao kwa kuujaza kwa wingi uwaja wa CCM Kirumba na mechi zote za ligi kuu ya NBC.

"Tulimsikia Mkuu wetu wa Mkoa Mhe Said Mtanda akituhimiza kushikamana na tuwe wachezaji wa 12 uwanjani siku zote za michuano ya timu ya Pamba Jiji akimaanisha kuishabikia uwanjani",amesisitiza katibu Tarafa wakati akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa tawi la mashabiki wa Pamba Jiji FC.

Mwenyekiti mteule wa tawi hilo Salawe Magembe                      amebainisha atahakikisha kwa kushirikiana na wanachama wenzake wanazidi kuliimarisha tawi hilo na kuwa wakereketwa wa kweli kwa timu ya Pamba Jiji FC

Mchezaji wa zamani wa Pamba miaka ya 90 ambaye alikuwa mlinda mlango Madata Lubigisa amewataka mashabiki wa soka kuhakikisha timu yao inadumu katika ligi hiyo na kuwa tishio kwa timu za uzito wa juu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

"Nimefurahi mlivyo hamasika na timu yenu ya Wana Kawekamo TP Lindanda,Pamba Jiji FC ufunguzi wa tawi hili uwe msingi bora wa kupanga mikakati mbalimbali ya kuipa maendeleo timu yenu,"Agnes Magubu,kiongozi wa Kampeni ya Pamba Day

Kampeni hiyo inayoendelea kwenye wilaya zote za Mkoa wa Mwanza inakwenda Pamoja na uuzwaji wa tiketi za kuingilia siku ya Pamba Day na jezi za timu hiyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti