• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Kilimo cha kisasa chawakwamua wafanyabiashara Mwanza

Posted on: March 21st, 2020

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa! Huu ni usemi uliozoeleka nchini kuelezea umuhimu wa sekta ya kilimo kwa maendeleo ya Taifa.

Mkuu wa Seksheni ya Uchumi na uzalishaji, Emily Kasagara anasema mkoa wa Mwanza umeendelea kutekeleza maelekezo ya ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kufanya kilimo nchini kuwa cha kisasa, chenye tija na cha kibiashara.

Mafanikio tayari yameanza kuonekana katika na uzalishaji wa zao la pamba ambako Kasagara anasema umeongezeka kutoka tani 17,413.5 msimu wa kilimo wa 2017/2018 hadi tani 49,573.34 msimu wa 2018/19, ikiwa ni ongezeko la tani 32,573.34 sawa na asilimia 187.

Kwa upande wa usambazaji wa mbegu, anasema mahitaji ya mbegu za pamba kwa msimu 2018/19 yalikuwa ni tani 2,691.5, tani 2,585.52 za mbegu sawa na asilimia 96 zimesambazwa kwa wakulima, ambapo mbegu za manyoya za pamba ni tani 2,309 zilisambazwa kati ya lengo la tani 2,373.6 na jumla ya tani 276.5 za mbegu za kipara zilisambazwa kwa wakulima.

Hata hivyo anasema kutokana na mwenendo mbaya wa hali ya hewa, msimu wa 2018/19 uzalishaji wa chakula hasa aina ya wanga hautawezesha mkoa kujitosheleza kwa mahitaji ya aina hiyo kwa asilimia 100 na hivyo upungufu wa mahitaji ya chakula aina ya wanga unatarajiwa katika kipindi cha msimu wa 2019/20.

“Kwa sasa uzalishaji unaweza kutofikia matarajio ya mavuno ya tani 724,042.78 za mazao ya wanga,” anasema.

 Kwa upande wa huduma za ugani, anasema hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu jumla ya wakulima 100,114 walikuwa wamepatiwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo, ambapo Manispaa ya Ilemela ilitoa mafunzo kwa wakulima 428, Kwimba-45,200, Magu-23,005, Sengerema-4,826, Buchosa-21,752, Ukerewe-1,348, Misungwi-2,826, Jiji la Mwanza-663.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa! Huu ni usemi uliozoeleka nchini kuelezea umuhimu wa sekta ya kilimo kwa maendeleo ya Taifa.

Mkuu wa Seksheni ya Uchumi na uzalishaji, Emily Kasagara anasema mkoa wa Mwanza umeendelea kutekeleza maelekezo ya ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kufanya kilimo nchini kuwa cha kisasa, chenye tija na cha kibiashara.

Mafanikio tayari yameanza kuonekana katika na uzalishaji wa zao la pamba ambako Kasagara anasema umeongezeka kutoka tani 17,413.5 msimu wa kilimo wa 2017/2018 hadi tani 49,573.34 msimu wa 2018/19, ikiwa ni ongezeko la tani 32,573.34 sawa na asilimia 187.

Kwa upande wa usambazaji wa mbegu, anasema mahitaji ya mbegu za pamba kwa msimu 2018/19 yalikuwa ni tani 2,691.5, tani 2,585.52 za mbegu sawa na asilimia 96 zimesambazwa kwa wakulima, ambapo mbegu za manyoya za pamba ni tani 2,309 zilisambazwa kati ya lengo la tani 2,373.6 na jumla ya tani 276.5 za mbegu za kipara zilisambazwa kwa wakulima.

Hata hivyo anasema kutokana na mwenendo mbaya wa hali ya hewa, msimu wa 2018/19 uzalishaji wa chakula hasa aina ya wanga hautawezesha mkoa kujitosheleza kwa mahitaji ya aina hiyo kwa asilimia 100 na hivyo upungufu wa mahitaji ya chakula aina ya wanga unatarajiwa katika kipindi cha msimu wa 2019/20.

“Kwa sasa uzalishaji unaweza kutofikia matarajio ya mavuno ya tani 724,042.78 za mazao ya wanga,” anasema.

 Kwa upande wa huduma za ugani, anasema hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu jumla ya wakulima 100,114 walikuwa wamepatiwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo, ambapo Manispaa ya Ilemela ilitoa mafunzo kwa wakulima 428, Kwimba-45,200, Magu-23,005, Sengerema-4,826, Buchosa-21,752, Ukerewe-1,348, Misungwi-2,826, Jiji la Mwanza-663.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti