• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

KIONGOZI MBIO ZA MWENGE AIPONGEZA KWIMBA KUONGEZA WIGO UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: August 28th, 2025

Mwenge wa Uhuru leo Agosti 28, 2025 umezindua maduka 20 ya biashara pamoja na Jengo la duka kubwa la dawa muhimu katika soko la Ngudu Wilayani Kwimba vilivyojengwa kwa thamani ya zaidi ya Milioni 168 kama mradi wa kudumu wa ukusanyaji mapato ya ndani.

Akizindua Mradi huo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Bw. Ismail Ali Ussi amewapongeza Viongozi wa Wilaya hiyo kwa kubuni chanzo cha kudumu cha kuongeza wigo wa ujusanyaji wa mapato kwa Halmashauri hiyo.

Amesema mradi huo una tija kubwa katika kuikuza Kwimba kwani kupitia tozo kama Kodi za kupangisha, Leseni za biashara, Kodi za huduma kama usafi na choo vitakua endelevu na kuisaidia Halmashauri hiyo kukusanya fedha ambazo zitasaidia kuboresha mazingira ya soko hilo lakini pia kutekeleza miradi mingine ya huduma za jamii.

Amesema mradi huo ni miongozi mwa miradi inayoenda kuwapa hadhi Ngudu na Halmashauri kwa ujumla na kuweza kupeleka hata kupandishwa hadhi kwa mji wa Ngudu.

Akitoa taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi, Afisa Biashara wa Halmashauri hiyo Bi. Salome Mwaipopo amesema wameamua kujenga maduka hayo ili kuongeza vyanzo vya mapato na kwamba chanzo hicho pekee wamelenga kukusanya zaidi ya Tshs. Milioni 41 kwa mwaka.

Kadhalika, Kiongozi huyo ametoa wito kwa wananchi kujiandaa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 kwa amani na utulivu.

Awali, Mwenge wa Uhuru umekagua huduma za matumizi ya nishati safi ya kupikia pamoja na ujenzi wa bweni la wavulana katika shule ya Sekondari Ngudu vilivyogharimu zaidi ya Tshs. milioni 175 kabla ya kutembelea mashine ya kuongeza virutubishi kwenye nafaka pamoja na mradi wa vijana washonaji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti