• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AMEZIAGIZA SHULE KUTENGA MAENEO YA UPANDAJI MITI

Posted on: October 7th, 2024

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AMEZIAGIZA SHULE KUTENGA MAENEO YA UPANDAJI MITI


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava amezitaka shule za msingi na sekondari Mkoani Mwanza kutenga maeneo kwa ajili ya kupanda miti kwa ajili ya kuhifandi mazingira na kulinda uoto wa asili ili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

Ndugu Mnzava ametoa wito huo leo t Oktoba 07, 2024 wakati akikagua mradi wa upandaji miti katika Shule ya Sekondari Ibondo ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wamewezesha upandwaji wa miti 1862 yenye thamani ya Tshs. 533, 260.

Sambamba na hilo Ndugu Mnzava ameshiriki upandaji wa miti 500 na ametumia wasaa huo kuwapongeza na akatoa rai kwa shule zingine mkoani huko kuiga mfano huo mzuri kwani Dunia inapitia changamoto ya hewa ya ukaa hivyo ni lazima watoto wajue umuhimu wa kuhifadhi mazingira.

Aidha, amewapongeza shule kwa kutekeleza kwa vitendo agizo lililotolewa na waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano la kusoma na mti ambapo inawajenga watoto kusoma wakihifadhi miti kwani kila mwanafunzi anapanda mti na kuutunza wakati wote hadi unakua.

Vilevile, amekagua mradi wa uoteshaji miche ya miti unaotekelezwa na kikundi cha vijana 'wazalendo forest' na ameiagiza halmashauri kuwasimamia na kuwaendeleza ikiwa ni pamoja na kuhakikisha shule zinanunua miche kwa ajili ya kupanda kwenye vitalu vyao.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti