• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MAAFISA BIASHARA NA MAENDELEO YA JAMII MUWE CHACHU YA MAGEUZI KWA WAJASIRIAMALI: RC MTANDA

Posted on: April 4th, 2024

MAAFISA BIASHARA NA MAENDELEO YA JAMII MUWE CHACHU YA MAGEUZI KWA WAJASIRIAMALI: RC MTANDA


Maafisa biashara na Maendeleo ya jamii kutoka Mikoa ya Kanda ya ziwa wametakiwa kuwa chachu ya mageuzi ya kiuchumi kwa wajasiriamali kwa kutumia kikamilifu fursa zilizopo kwenye maeneo yao.

Rai hiyo imetolewa leo Machi 4, 2024 Jijini Mwanza na Katibu Tawala Msaidizi Viwanda, Biashara na Uwekezaji Patrick Karangwa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati wa ufunguzi wa Mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali.

"Nimesikia hapa katika hotuba kuwa lengo la mafunzo haya ni kuhakikisha vijana wanatumia utaalamu kwenye fursa zilizopo kama ni biashara za Dagaa, Nafaka au Ufugaji Samaki basi naomba uwe katika kiwango cha kumvutia mtumiaji wa mwisho," Karangwa.

Amesema Taasisi ya GS 1 inayotoa Mafunzo kwenye Mikoa mbalimbali imeanza na Kanda ya ziwa ikitambua uwingi wa fursa za kiuchumi zilizopo lakini kinachokwamisha ni namna ya kutumia utaalamu ili kuwepo na tija.

"Ziwa letu limejaa dagaa, lakini unawakuta wafanyabiashara wengi wanauza kwa kutumia visado badala ya kuwaweka vizuri kwenye vifungashio vya kisasa na vyenye mvuto", amesisitiza Karangwa wakati wa hotuba yake kwa Maafisa hao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya GS 1 Bi. Fatma Kange amesema kwa muda mrefu ukosefu wa Msimbomilia (Barcodes) umeleta usumbufu kwa wafanyabiashara na kujikuta wakishindwa kupenya kwenye soka la ushindani, hivyo Serikali ikalazimika kuanza mchakato wa kuanzisha taasisi hii mwaka 2011.

"Ndugu mgeni rasmi taasisi za GS1 pamoja na kutoa huduma za viwango vya kimataifa katika utambuzi wa bidhaa, pia hutakiwa kusimamia na kuratibu mfumo wake na kuishauri sekta za biashara na viwanda katika matumizi yake," amefafanua Bi. Fatma.

Makamu mwenyekiti wa GS1 Hamad Hamad anayetokea Zanzibar amebainisha katika soko la ushindani wa kibiashara hivi sasa kila nchi inajitajidi kuwawekea mazingira rafiki wajasirimali wake ili kujiimarisha kiuchumi na kuchangia pato la Taifa.

"Baada ya mafunzo haya nendeni mkafanye uchambuzi mzuri wa makundi ya bora ya wajasirimali na mtupatie ili tuweze kuwapa mbinu sahihi za kupiga hatua zaidi na hatimaye kulimidu soko la kimataifa," amesema Makamu Mwenyekiti.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti