• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MABORESHO YA KITUO CHA AFYA MKOLANI YAONGEZA HUDUMA KWA WAKAZI 14,000

Posted on: September 18th, 2024

MABORESHO YA KITUO CHA AFYA MKOLANI YAONGEZA HUDUMA KWA WAKAZI 14,000


Maboresho ya kituo cha afya Mkolani yaliyo gharimu shs milioni 848 kimesaidia kuongeza huduma bora kwa wananchi kutoka kata 10  na kufikia idadi ya 14,000 wanaofika kupata matibabu.

Mganga Mkuu wa kituo hicho Leonard Kafula akitoa leo taarifa fupi  kwa Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Balandya Elikana,amesema awali kabla ya maboresho walikuwa wanatoa huduma kwa wateja wapatao 15 hadi 20 lakini sasa hivi wanawahudumia 70

Amesema maboresho hayo ya miundombinu yaliyoanza kufanyika mwaka 2022-23 kwa mfumo wa force account ,Serikali kuu imetoa shs milioni 248,imetoa pia shs milioni 300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na shs milioni 300 zimetolewa na halmashauri ya Jiji la Mwanza kupitia mapato yake ya ndani.

"Kukamilika kwa mradi huu kumeboresha na kuwezesha kupatikana kwa huduma zote ikiwemo ya upasuaji huku idadi ya akina mama wajawazito ikiongezeka kutoka 15 hadi kufikia 37 kwa mwezi na kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa kwenda kupata huduma hiyo hospitali ya Nyamagana.

"Ndugu Katibu Tawala wetu kituo hiki sasa kimekuwa mkombozi kwa wananchi wa Mkolani na maeneo ya jirani lakini hasa wakina mama wajawazito ambao walikuwa wakilazimika kwenda umbali mrefu kupatiwa huduma na wakati mwingine kuhatarisha uhai wao,"Mkuu wa wilaya.

Mara baada ya kukagua kituo hicho Ndugu Balandya amewataka watumishi kuwahudumia wateja wao kwa weledi licha ya kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa watumishi hali ambayo inafanyiwa kazi na Serikali kulingana na bajeti.

Miradi yenye thamani ya zaidi ya shs bilioni 78 wilayani Nyamagana imefanyiwa ukaguzi ikiwemo ya maji,shule na barabara.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti