• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MABORESHO YA USAFIRI WA MAJINI USIWAOGOPESHE WAWEKEZAJI-NAIBU WAZIRI

Posted on: November 18th, 2024

MABORESHO YA USAFIRI WA MAJINI USIWAOGOPESHE WAWEKEZAJI-NAIBU WAZIRI


Naibu Waziri wa Uchukukuzi Mhe. David Kihenzile leo amezindua rasmi jina na nembo mpya ya kampuni ya  Meli Tanzania, TASHICO na kusisitiza maboresho yanayofanywa na Serikali hayana nia ya ushindani bali ni kurahisisha maendeleo ya wananchi hivyo ni wajibu wote kuunganisha nguvu moja.

Akizungumza katika hafla hiyo leo Novemba 18, 2024 ukumbi wa Kwatunza Hotel wilayani Ilemela Mwanza, Kihenzile amebainisha Serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuiboresha  sekta yote ya usafiri ili kujenga uchumi imara kwa maslahi ya wananchi wake na Taifa kwa ujumla.

"Serikali katika miaka hii mitatu imetoa jumla ya Tshs. trilioni 1.2 kwa ajili ya kuboresha miradi ya Meli kwenye maziwa na Mwanza ni Mkoa uliokaa kimkakati kwa kupakana na nchi za Kenya, Rwanda, Burundi na Uganda hivyo mizigo mingi itapita hapa," Naibu Waziri.

Ameongeza kuwa mara reli ya kisasa SGR itakapo kamilika idadi kubwa ya mizigo ya kwenda nchi jirani itaongezeka kutokana na kuimarishwa kwa safari za majini na barabara na hivyo kuzidi kupanua fursa za uwekezaji.

Akitoa salamu za Mkoa wa Mwanza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala wa mkoa huo,Ndugu Balandya Elikana ameishukuru Serikali ya Rais Dkt.Samia kwa kuzidi kuboresha njia kuu za uchumi utakaozidi kuongeza kupata kwa Taifa na maendeleo ya wananchi.

"Hakuna Taifa lolote linaweza kupiga hatua bila ya kuboresha sekta ya uchukuzi,tunaendelea kushuhudia uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali yetu kuanzia upanuzi wa uwanja wa ndege,usafiri wa Meli,barabara na reli ya kisasa.

Naye Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kampuni ya Meli Tanzania,Meja Jenerali mstaafu John Mbungo ameipongeza kampuni hiyo kwa huduma bora eneo lote la maziwa na kuwataka wazidi kuwa wabunifu katika usafiri huo wa majini.

Awali kampuni hiyo ilikuwa ikijulikana kwa jina la Kampuni ya huduma za Meli Mwanza MSCL na sasa inajulikana kwa jina la Kampuni ya Meli Tanzania TASHICO

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti