• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MACHINGA MKOA WA MWANZA HATUTAANDAMANA : MWENYEKITI SHIUMA

Posted on: January 22nd, 2024

MACHINGA MKOA WA MWANZA HATUTAANDAMANA : MWENYEKITI SHIUMA


Mwenyekiti wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Mkoa wa Mwanza (CHIUMA) Mohamed Dauda amesema wafanyabiashara wadogo Mkoa huo (Machinga) hawataandamana Janauri 24, 2024 kama inavyohamasishwa na vyama vya siasa.

Dauda ametoa tamko hilo mapema leo tarehe 22, Januari 2024 wakati wa mkutano wa shirikisho hilo pamoja na waandishi wa Habari uliofanyika kwenye Stendi ya Mabasi Nyegezi.

Amesema, kundi hilo linalojipatia kipato kupitia biashara ndogondogo halipo tayari kutumiwa na wanasiasa kwani wataathiri biashara zao kwa kujihusisha na uvunjifu wa amani.

Amesema kundi hilo wanamshukuru Rais Samia kwa kuwawekea mazingira rafiki ya kazi kwa kuwajengea Ofisi nchi nzima na kuwatengea maeneo na kwamba imekua ni fursa sahihi ya kukuza kipato na uchumi wa nchi kwa ujumla.

Ameendelea kufafanua kwamba hakuna machinga atakayeandamana mkoa mzima na yeyote atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kinidhamu ikiwemo kuondolewa kwenye shirikisho lao mara moja.

Katibu Mkuu wa shirikisho hilo Venatus Anatory ametumia wasaa huo kuhamasisha bodaboda kujikinga na janga la Kipindupindu na akatoa wito kwao kuweka vibeba taka kwenye maeneo yao na kuhakikisha wananawa maji tiririka.

"Hoja zetu na Serikali ya Rais Samia zinaishia mezani, hatuna sababu ya kuandamana maana hata tulipokutana naye Dodoma alitusikiliza na tuna furaha kwani tunafanya biashara kwa uhuru hatubughudhiwi na mtu." Katibu Mkuu.

Naye Beatrice Mgema, mfanyabiashara kwenye Stendi ya Nyegezi amebainisha kuwa Rais Samia ni kama mlezi wa biashara zao kwani amewawekea mazingira mazuri ya kazi na kwamba riziki wapatazo hawako tayari kuharibu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti