• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Madaktari bingwa waweka kambi ya uchunguzi wa magonjwa Sekou Toure

Posted on: December 7th, 2022


Kambi ya Madaktari Bingwa yaanza kwenye Viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure kwa kushirikiana na Hospitali ya Bugando ambapo wananchi watafanyiwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa siku tano.

Akizindua kambia hiyo mapema wiki hii, Katibu Tawala wa Mfkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana ametoa wito kwa wananchi wa Mwanza na maeneo ya jirani kufika kwenye viwanja hivyo kufanya vipimo ili wafahamu afya zao na kuweza kupata tiba.

"Nawakaribisha sana wananchi kwenye viwanja hivi kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni kwa siku tano mfululizo ambapo pamoja na kupata uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, kutakuwa pia na vipimo kama vya Selimundu, Kansa ya Damu, Mionzi, Upungufu wa Damu Mwilini na vingine." Elikana.

Naye, Daktari Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Bahati Msaki amesema Afya ndio mtaji wa maisha ya kila mwanajamii hivyo ni wajibu wa  wananchi kutumia fursa hiyo kupata vipimo huku akibainisha kuwa wanatarajia kuhudumia zaidi ya wananchi 2000 kwenye kambi hiyo.

"Kuna Madaktari Bingwa wa magonjwa ya Macho, Meno, Watoto, Magonjwa ya akina mama na watoto, Magonjwa ya damu, Mfumo wa Chakula, Magonjwa ya Akili, huduma za kusafisha Damu, Maabara na Damu." Amesisitiza Dkt. Bahati Msaki.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti