• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mafunzo ya Umiliki Manufaa yana tija kwa Mkoa wa Mwanza ambao ni kitovu cha Biashara-RAS Mwanza

Posted on: February 6th, 2024

Mafunzo ya Umiliki Manufaa yana tija kwa Mkoa wa Mwanza ambao ni kitovu cha Biashara-RAS Mwanza


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana leo januari 06, 2024 amefungua mafunzo ya Umiliki Manufaa kwa wataalamu wa sheria na kubainisha yamekuja wakati mwafaka kwa Mkoa huo ambao ni kitovu cha biashara na unaokuwa kiuchumi.

Akizungumza kwa niaba yake kwenye ukumbi wa mikutano Hotel ya Victoria Palace, Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu, Daniel Machunda amewapongeza waandaaji wa mafunzo hayo Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni,BRELA kwa kuwa na lengo la kuhakikisha huduma bora zinatolewa na kupatikana kwa urahisi.

Amesema Mkoa wa Mwanza upo kimkakati kutokana na kupakana na nchi za maziwa makuu kufanya kuwepo na fursa kubwa ya kibiashara,hivyo mafunzo hayo yatakuwa na tija kwa wafanyabiashara kwa kufuata miongozo sahihi na mwishowe kukuza uchumi wa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

"Serikali inatambua kuwepo kwa changamoto za taarifa za baadhi ya wamiliki ambao wanaweza kutumia Makampuni yao kukwepa Kodi au kupitisha fedha haramu,"amesema Machunda wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.

Amewataka washiriki wa mafunzo hayo kutumia vizuri nafasi hiyo na kuwa mabalozi kwa wengine na kuwepo na muendelezo mzuri wa utoaji wa huduma bora.

Kwa upande wake Afisa Sheria Mkuu wa BRELA,Menrad Rweyemamu amesema Taasisi hiyo siku zote imesimama imara kuhakikisha miradi kutoka ndani na nje ya nchi inaingia kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti