• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MAGU MSILALE MPAKA MIRADI YA ELIMU MSINGI IKAMILIKE- RC MTANDA

Posted on: January 30th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Magu kukamilisha miradi Saba (7) ya Ujenzi wa Madarasa na matundu ya Vyoo katika shule za msingi ndani ya Siku 14.

Ametoa wito huo mapema leo wilayani humo katika nyakati tofauti wakati akikagua utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa na Matundu ya Vyoo kwa gharama ya Tshs. Bilioni 1.4 fedha kutoka serikali kuu.

Mkurugenzi wa Halmashauri asilale usingizi, akilala miradi haitakamilika na hili pia Menejimenti ya Halmashauri pia hili linawahusu msilale pia. Amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ametoa rai kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapelekea watoto shuleni pasipo kuchelewa ili malengo ya serikali ya kuwapatia elimu watoto itimie kwani hadi sasa wilaya hiyo wameripoti wanafunzi kwa 50% tangu shule zifunguliwe.

“Wazazi ambao hamjawapeleka watoto shuleni nimekuja kuwakumbusha muwapeleke wakaandikishe na Mkoa huu tumefikisha 72% za uandikishaji na tunataka kufikia 100% hivyo asituangushe yeyote na mwenye changamoto amuone kiongozi wa kitongoji au kijiji kwa msaada.” Mhe. Mtanda.

Vilevile, ametumia wasaa huo kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan kwa kuajiri watumishi elfu 1200 mkoani humo katika sekta za Elimu na Afya huku kwa Magu wakipokea 142.

Akitoa taarifa ya ujenzi wa shule ya Msingi Muungano katika Kata ya Kisesa Mwalimu Ruth Simon amesema ujenzi wa Vyumba 7 vya madarasa na matundu 12 ya vyoo utakamilika ifikapo februari 15, 2026 kwani changamoto zilizowakabili wameshazitatua ikiwemo ugumu wa kumpata fundi.

“Ninawataka wananchi wa Magu mdumishe amani na upendo, hakuna maendeleo mahali popote bila kuwa na amani hata katika familia haiwekezani hivyo basi tuhakikishe tunadumisha maelewano na umoja.” Amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti