• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Makatibu wa Afya nchini wapewa Rai ya Ukusanyaji Mapato

Posted on: May 19th, 2023

*Makatibu wa Afya nchini watakiwa kupanua wigo wa Ukusanyaji Mapato*


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amewataka Makatibu wa Afya Nchini kusimamia Mifumo ya Ukusanyaji Mapato kwenye maeneo yao ya kazi ili kuimarisha taasisi zao kwenye sekta ya Rasilimali fedha.

Balandya amesema hayo leo Mei 19, 2023 jijini Mwanza wakati akifunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Makatibu wa Afya Tanzania ambao umefanyika Mkoani humo kwenye ukumbi wa Gold Crest kuanzia Mei 16-19, 2023.

"Ni muhimu sana kusimamia vizuri mifumo ili iweze kutuongezea mapato kwani tukijiimarisha kwenye eneo hilo kutasaidia kupata Rasilimali fedha zitakazosaidia kwenye utekelezaji wa majukumu badala ya kusubiri fedha kutoka serikali kuu." Amesisitiza Katibu Tawala.

Vilevile, ametoa rai kwa kundi hilo kwenda kutoa elimu ya mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kwa watumishi walio kwenye maeneo yao ili kurahisisha uratibu wa shughuli za mfuko huo na kusaidia watumishi wanapoumia kazini kupata haki zao.

Hata hivyo, amewataka kwenda kusimamia upatikanaji wa takwimu sahihi katika kutoa maamuzi ili maamuzi yoyote yatokane na takwimu sahihi ili kuweka uhalisia wa ushughulikiaji wa masuala mbalimbali.

"Nina imani kuwa ndani ya hizi  siku mlizokuwepo hapa mmepeana hamasa na chachu ya kuongeza bidii na kuwezesha utoaji wa huduma bora hivyo twendeni tukaboreshe huduma za takwimu kwenye maeneo yetu." Balandya.

"Nina uhakika maazimio mliyojiwekea ndani ya siku tano za Mkutano huu mtakwenda kuyatekepeza kwa vitendo ili kuongeza ufanisi kwenye huduma" Amesema

Kaimu Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Bi Claudia Kaluli wakati akimkaribisha Mgeni Rasmi.

Naye, Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu wa Afya Bi. Juliana Mawala ametumia wasaa huo kuwaasa Makatibu wa Afya kwenda kujituma kwa dhati ili kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo na pia ameshukuru Uongozi wa Mkoa kwa ushirikiano.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti