• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba yatoa dawa Zahanati ya Gereza la Butimba Mwanza

Posted on: June 29th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amekabidhi Dawa zenye thamani ya Tshs Milioni 27 zilizotolewa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba kanda ya Ziwa (TMDA) kwa Zahanati ya Gereza la Butimba.


Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye Zahanati hiyo leo Juni 29, 2022 Mhe. Mkuu wa Mkoa amewashukuru TMDA kwa msaada utakaosaidia kuboresha huduma na ametoa rai kwao kuendelea kufanya ukaguzi  kwa mujibu wa sheria ili wananchi waendelee kupata Dawa zilizo salama.

Aidha, amewaagiza Gereza hilo kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha huduma. "Tunatamani tuone huduma za afya hapa zinatolewa kwa viwango vya juu zaidi na sasa tupate mahitaji ya dawa na vifaa tiba zaidi vinavyohitajika hapa kutokana na historia ya magonjwa yanayoibuka zaidi." amesema.


"Mhe Mkuu wa Mkoa, hiki kituo hakitoi huduma kwa wafungwa pekee, kinatoa hadi kwa wananchi na wamekua wakisifiwa makamanda hawa kwa huduma nzuri na hakuna malalamiko kutoka kwa wananchi dhidi ya huduma zinazotolewa hapa." Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mhe. Amina Makilagi.

Akiongea wakati wa makabidhiano ya Dawa, Meneja wa TMDA Kanda ya Ziwa Mashariki Bi Sophia Mziray amesema wao kama wadhibiti wa ubora, ufanisi na Usalama wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi wanaamini dawa hizo zitasaidia kuongeza huduma kwenye Zahanati hiyo.

"Kwa siku tunahudumia kati ya wateja 60 hadi 80 na tumekua na changamoto ya dawa kadhaa kwenye kituo chetu hivyo kwa kupata dawa hizi itatusaidia sana kuongeza huduma kwa wafungwa na wananchi." Dkt Ramadhani Kinyunyi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti