• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MCHAKATO WA KULIGAWA JIMBO LA MAGU WAANZA RASMI-TUME YA UCHAGUZI

Posted on: April 23rd, 2025

MCHAKATO WA KULIGAWA JIMBO LA MAGU WAANZA RASMI-TUME YA UCHAGUZI


Mwenyekiti wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Jacobs Mwambegele leo Aprili 23,2025 ametangaza rasmi kuanza mchakato wa kuligawa jimbo la Magu kwa kufuata miongozo yote ya kikatiba na ya Tume hiyo.

Akizungumza na wadau wa uchaguzi kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Magu, Mwenyekiti huyo amesema mchakato unaofanywa na Tume yake ni kuja kujiridhisha kutokana na maombi yaliyofanyika  kuanzia ngazi ya wilaya hadi Mkoa kabla ya kutangaza rasmi jimbo jipya lililopendekezwa  la Sanjo.

"Ndugu wadau mliofika hapa naomba tuelewane vizuri msianze kutoka hapa na kusema tayari Jimbo limegawanywa hapana, tume hii inafanya kazi kwa kufuata miongozo ya katiba ya nchi yetu na vifungu vya tume, tumekuja kujiridhisha kwa kuwasikia kile mlichoamua kwa kufuata vikao halali na sisi pia kupita kulikagua jimbo husika", Mhe.Mwambegele.

Aidha, ameongeza kuwa Tume imetimiza matakwa ya kanuni ya 18 ya kanuni ya Tume hiyo ya mwaka 2024 ya kutembelea majimbo yote likiwemo la Magu yaliyoomba kugawanywa au kubadilishwa majina.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa tume hiyo bwana Greyson Okado akiwaapisha wadau hao kwenye maombi yaliyotumwa amebainisha Jimbo la Magu lina zaidi ya wakazi laki nne, jumla ya kata 25 na endapo ombi lao litakubaliwa Jimbo la Magu litabaki na kata 14 na Jimbo la Sanjo liwe na kata 11 na kila Jimbo litabaki na wakazi zaidi ya laki mbili.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti