• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mhandisi Gabriel ahamasisha wawekezaji kuja Mwanza

Posted on: September 14th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mhe.Mhandisi Robert Gabriel, amewataka watendaji Mkoani humo kuepukana na vitendo vya rushwa pamoja na kuondoa urasimu ili kuwawezesha wawekezaji kufanya shughuli zao bila tatizo.

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara kilichofanyika  mkoani humo, Mhe.Mhandisi Gabriel amesema  wanaohitaji kuwekeza katika maeneo mbalimbali.


“Wakati mwingine mwekezaji anakuja anakutana na changamoto nyingi, naomba sana watendaji tuwapunguzie mzigo hawa wawekezaji,” alisema Mhe.Mhandisi Gabriel.

Mhe.Mhandisi Gabriel amewahakikishia wafanyabiashara wa Mkoa wa Mwanza kuwa ofisi yake itatumia nguvu zote kuhakikisha wanafanikiwa pamoja na usalama wao na mali zao na kuondoa vikwazo vyote vya rushwa.


“Ukiona unazungushwa ni dalili za rushwa na rushwa haitakuwa na mlango katika mkoa huu kwa mwekezaji yeyote,” alisema Mhandisi Gabriel.

Aidha, amesema wanatakiwa kutumia miundombinu kusafirisha malighafi kutoka mkoani humo kwenda sehemu nyingine kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kibiashara.

"Hizi barabara siyo  za kubeba watu pekee, tunahitaji ndege za mizigo zitue na kesho tujue katika reli ya kisasa ni tani ngapi zitawekwa zipelekwe maeneo mengine,” aliongeza.

Ameongeza kuwa  ili uchumi uwe vizuri wanahitaji shehena za mizigo ambazo zinatoka Mwanza kwenda kwenye masoko mengine.

Mhe. Gabriel amemtaka kila mmoja kutumia kanuni, sheria na taratibu kuhakikisha anawajibika kuweka mazingira wezeshi ya kibiashara.

Naye Dkt. Elibariki Mmari  ameziomba  halmashauri zote kukaa pamoja na wafanyabaishara ili kupanga tozo ya (service levy).





Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti