• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mikakati ya mkoa kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu inaendelea: Dkt. Rutachunzibwa

Posted on: January 15th, 2024

Mikakati ya mkoa kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu inaendelea: Dkt. Rutachunzibwa


Leo Januari 15, 2024 Mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt.Thomas Rutachunzibwa ameendelea na vikao kwenye ukumbi wa Ofisi yake na kamati za kisekta za Mkoa za kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu.

Kamati hizo zinazoundwa na wajumbe kutoka Wizara ya afya na taasisi mbalimbali yakiweno mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayotoa huduma za afya,vikao hivyo vya kila siku wanajadiliana majukumu mbalimbali wanayopeana ya kupambana na ugonjwa huo kwenye Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Akizungumzia mikakati hiyo Dkt. Ruta amebainisha wajumbe hao wanakutana mara mbili kwa siku asubuhi kupeana taarifa za nini cha kufanya siku husika na jioni kupata mrejesho na changamoto za kufanyiwa kazi kwenye kwenye maeneo yote husika.

"Tumeunda Sekta za kimkakati mfano tuna MWAUWASA,RUWASA na Maabara ya maji majukumu yao ni kuhakikisha vyanzo vyote vya maji vinatambuliwa na kutibiwa,kupima ubora wa maji yanayotumiwa na wananchi kupitia mifumo rasmi na isiyo rasmi,"amefafanua mganga mkuu wa mkoa.

Amesema sekta ya elimu kwa kushirikiana na sekta ya afya watafanya ukaguzi wa vyoo vinavyotumika na walimu pamoja na wanafunzi,kuzuia uuzaji holela wa vyakula na matunda shuleni na uwepo wa sehemu maalum za kunawa mikono zenye maji tiririka na sabuni.

"Sekta ya Tarura na Tanroad watakuwa na jukumu la kufanya ukaguzi wa mitaro yote ya barabarani ili kuepusha takataka kusambaa maeneo yasiyo husika na kuhakikisha barabara zote zinapitika ili kurahisisha usafirishaji wa wagonjwa kwa urahisi huku sekta ya viongozi wa dini wanatakiwa kutoa elimu kwa waumini wao na kuwa na vyoo bora na kutumika,"Dkt.Rutta.

Dkt.Ruta ambaye ni Mwenyekiti wa kamati hiyo mkoa amesema sekta ya wataalamu wa afya,Ustawi wa jamii na Lishe wanatakiwa kuandaa kambi za matibabu ya wagonjwa,na kuhakikisha kila halmashauri ina mahitaji yote muhimu kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti