• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

“Mkawe Mabalozi wa kuutangaza Mkoa wetu”- RC Mongella

Posted on: July 5th, 2018


Mashindano ya urembo ngazi ya Mkoa yanayojulikana kwa la jina Miss Mwanza 2018 yameanza kupamba moto kwa washiriki ambao wako kambini huku wakijitokeza kushiriki kazi mbalimbali za kijamii katika maeneo tafauti tofauti .

Mashindano inatarajiwa kushika kasi July 6 mwaka huu katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza ambapo tayari warembo 14 wako kambini wakiendelea kujifua .

Akitoa rai kwa walimbwende hao Mkuu wa M koa wa Mwanza John Mongella aliwataka kuwa mabalozi wazuri wa kuutangaza Mkoa wa mwanza, kuwa vijana wanaojiamini na kuishi ndani ya ndoto zao ili kufikia malengo waliojiwekea na kufikia mafanikio yao.

Pia aliwataka kuwa mabalozi watakaoleta mabadiliko ndani ya jamii hivyo watumie fursa zilizopo na wawe na imani kuwa wote ni washindi, kwa niaba ya wananchi wanaowategemea kuipeperusha vyema Mwanza na kutwaa taji la Miss Tanzania na kutambua kukata tamaa ni adui mkubwa wa maendeleo.

Naye Pamela Irengo Mkurugenzi wa Kampuni ya Mepal Management ambao ni waandaaji wa mashindano hayo alisema wao wamejipanga ipasavyo kulifanikisha ilo huku akielezea kuwa halfa hiyo itapambwa na wasanii kama Nandy,Aslay huku Jokate na Hamis Mabeto kuwa miungoni mwa majaji watano kwa usiku huo.

“Kila idara imekamilika kuanzia zawadi kwa mshindi ambayo itatolewa pale pale hadharani, pia tunatambua umuhimu wa washiriki wote 14 hivyo siku hiyo tunatoa zawadi kwa washiriki wote kwa kujitoa kwao na kuacha majukumu yao ukizingatia wengine bado wanafunzi," alisema Irengo.

Anastazia Anthony ni mmoja wa washiriki wa kuwania taji la Miss Mwanza alisema kuwa lengo lake ni kushinda taji hilo na kuhamasisha jamii kuweza kutambua umuhimu wa mashindano hayo na kuachana na imani potofu ya kuyachukulia kuwa ni uhuni bali wawe chachu ya kuwaunga mkono watoto wao na kuacha tabia ya kutowaruhusu kushiriki mashindano ya urembo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti