• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mkoa wa Mwanza wazindua rasmi mfumo wa m-mama kwa wajawazito,waliojifungua na watoto

Posted on: May 19th, 2023

*Mkoa wa Mwanza wazindua rasmi mfumo wa m-mama kwa wajawazito,waliojifungua na watoto wachanga*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amezindua rasmi mfumo wa usafirishaji wa dharura kwa wakina mama wajawazito,waliojifungua na watoto wachanga(m-mama) na kuwataka wahusika wote na mfumo huo kutekeleza wajibu wao kwa weledi.

Akizungumza na wafanyakazi wa kitengo hicho leo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza,Seko Toure,Balandya amesema lengo la kuanzishwa kwa mfumo huo ni kuepuka vifo vya mama na mtoto ambapo Mkoa wa Mwanza unakabiliwa na Changamoto hiyo,hivyo haitakuwa na maana kama wahusika wataonesha kuzembea katika kuteleza wajibu wao ipasavyo.

"Serikali ya Rais wetu Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan imeipa kipaumbele Sekta ya afya kwa kuboresha maeneo mbalimbali likiwemo hili la mfumo ambao ulizinduliwa na Rais wetu," amesema Mtendaji huyo wa Mkoa.

Ameongeza kuwa wahusika wote wa kada ya afya sasa watambue ni wajibu wao kuja na matokeo yenye tija wakati Serikali ikiweka mikakati mbalimbali ya kuwaboreshea huduma wananchi wake.

"

Mimi nikiwa Muuguzi Mkuu wa Mkoa,nimeguswa kwa namna ya pekee na huduma hii kwani ni yenye nia njema kwa wakina mama na watoto na hasa kwa wale walio katika maeneo yenye changamoto ya umbali na usafiri," Bi.Claudia Kaluli,Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa.

Afisa mwandamizi wa TEHAMA kutoka Wizara ya Afya,Jackson Shayo amesema mfumo huu umeonesha kuitikiwa vyema Bara na Visiwani hali ambayo inaonesha ni mkombozi kwa wakina mama wajawazito na wototo.

Huduma hiyo ya m-mama imefanikishwa na baadhi ya marafiki wa Maendeleo ikiwemo Vodafone Foundation,Pathfinder International na Touch Foundation

Jumla ya madereva 114 wameingia mkataba wa kutoa huduma hiyo katika Halmashauri zote nane za Mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti