• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MV MWANZA Yaongeza huduma ya usafiri Kigongo – Busisi

Posted on: June 17th, 2018


Ujenzi wa kivuko kipya cha MV MWANZA ulioahidiwa na Mhe.Dkt. John Magufuli Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umekamilika na kinatarajiwa kuimarisha huduma za uchukuzi wa majini katika Ziwa Victoria eneo la Kigongo-Busisi Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika hafla ya kushusha kivuko hicho majini Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.John Mongela amesema kivuko cha MV MWANZA kitaanza kutoa huduma zake ndani ya muda wa wiki tatu ili kuondoa adha ya usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.

Kivuko hicho ambacho ujenzi wake umetekelezwa na Kampuni ya Kizalendo ya Songoro Marine Transport Boatyard tayari kimeshushwa majini kwa ajili ya kufanyiwa majaribio ya mwisho kabla ya kuanza kutoa huduma zake.

Wakala wa Huduma za Ufundi na Umeme Nchini -TEMESA uliotoa zabuni ya ujenzi wa kivuko hicho umesema kuwa kukamilika kwake kutaimarisha huduma za uchukuzi katika kivuko cha Kigongo-Busisi Mkoani Mwanza.

Zoezi la kushusha kivuko cha MV MWANZA kwenye maji limeshuhudiwa na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mwanza, Anthony Diallo amesema ujenzi wa kivuko hicho ambao umegharimu Shilingi Billioni 8.9 ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Kivuko kipya cha MV MWANZA kilianza kujengwa Septemba mwaka jana ambapo kina uwezo wa kubeba Tani 250 za mizigo yakiwemo magari 36 na abiria elfu moja.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti