• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MV Nyerere Yainuliwa

Posted on: September 27th, 2018


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Mhandisi Isack Kamwelwe ametoa idadi ya watu waliopoteza maisha na miili iliyopatikana leo ni mwili wa mtoto mmoja Na kufanya idadi ya 228.

Bado Tupo kwenye eneo la ajali Ukara tukiendelea na uokoaji wa miili itakayopatikana ikiwa na chombo hiki kugeuza.

Japhet Masele Mtendaji Mkuu mpya wa TEMESA amewasili na Mpaka jana jioni tumeendelea kuangalia uwezekano wa kurejesha huduma katika eneo hili na tumepata injini inayoendelea kufungwa katika kivuko cha Mv. Ukara na saa 11 jioni itaanza mazoezi tayari kwa kuanza kutoa huduma wakati tunasubiri huduma ya kudumu na wananchi kuweza kuendelea katika shighuli zao za kiuchumi. Mv. Ukara inauwezo wa kubeba watu 70.

Wadau mbalimbali wanaoendelea kutoa rambi rambi leo hii waliotoa ubani ni pamoja na TPA wametoa Milioni 20, TPB Benki wametoa milioni 5.

Michango Kufikia saa 2 asubuhi Milioni 764,Fedha Iliyotumika 266 na Fedha iliyobaki benki 498.

Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema jitihada za kukiinua kivuko zimefanikiwa mchana huu mnamo saa saba na nusu na sasa hivi kipo Wilma (Upright) kwani mwanzo kilikua kimelala kifudifudi,kisha jana kikalala ubavu na leo tumefanikiwa kukiinua na kuwa wima kazi iliyobaki ni kuondoa maji kwenye kivuko ili kiweze kuelea moja kwa moja ili kivutwe na kurudi nchi kavu. Anapongeza vyombo vya ulinzi na usalama katika ngazi zote, pia wenzetu waliotuunga mkono kampuni ya Mv Mkombozi kwa kuleta meli yao, GGM wameongeza nguvu ya vifaa, Songoro Marine na Orioni 2 Pamoja na wananchi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti