• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Mwanza yapanda Miti zaidi ya Elfu 28 Kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia

Posted on: January 27th, 2024

Mwanza yapanda Miti zaidi ya Elfu 28 Kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia


Mkoa wa Mwanza leo Januari 27, 2024 umepanda Miti zaidi ya Elfu 28 ikiwa ni sehemu ya kusheherekea kumbukizi ya kuzaliwa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zoezi lililoongozwa na Katibu Tawala Mkoani humo Ndg.Balandya Elikana.

Zoezi hilo la upandaji miti lililofanyika shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Mwanza iliyopo wilayani Magu, Balandya akiambatana na viongozi waandamizi wa Serikali  wamepanda jumla ya miti 1700.

"Leo watanzania wote wanasheherekea kumbukizi ya kuzaliwa ya Rais wetu, tunapofanya jambo kama hili la kupanda miti tunaidi kuweka nchi yetu katika mazingira mazuri kwani miti ina faida nyingi," amesema Katibu Tawala wakati akizungumza na wananchi pamoja na wanafunzi walioshiriki zoezi hilo.

Amewataka wananchi kuendelea kuwa na tabia ya kupanda miti na kuepuka ukataji wa miti ovyo ambapo athari zake kubwa ikiwemo ukosefu wa mvua.

"Mkoa wetu tumejiwekea malengo ya kupanda miti milioni 12 kila mwaka na kila halmashauri zote 8 kupanda miti milioni 1.5 yakiwa ni maagizo ya Serikali",Balandya

"Endeleeni kuwa vinara wa kutunza mazingira kupitia elimu mnayopata hapa shuleni,muwe wana mapinduzi wa kweli katika kuifanya Tanzania kuwa ya kijani",Prof Riziki Shemdoe,Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi na mifugo

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti