• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NYAMAZUGO SENGEREMA

Posted on: October 7th, 2024

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NYAMAZUGO SENGEREMA


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava ameridhishwa na kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Nyamazugo wilayani Sengerema kinachotekelezwa kwa thamani ya Tshs. Milioni 500.

Akizungumza na wananchi baada ya kuweka jiwe la msingi leo Oktoba 07, 2024 kiongozi huyo amewapongeza viongozi wa Halmashauri hiyo kwa usimamizi mzuri uliozaa mradi wenye ubora ukilinganisha na thamani ya fedha iliyotumika.

Ndugu Mnzava amesema Mhe. Rais ameamua kutoa fedha hizo kuwajengea wananchi wake zaidi ya 45,416 kutoka kwenye kata tatu za Nyamizeze, Kasenyi na Nyamazugo na maeneo ya jirani ili jamii iwe na uhakika wa kupata matibabu.

"Sengerema mmeitendea haki fedha iliyoletwa kwa ajili ya ujenzi huu, Mhe. Rais ameleta fedha hizi ili kuboresha huduma za afya, naomba muendelee kukamilisha ili kufika mwezi Disemba huduma zianze kutolewa." Amesema ndugu Mnzava.

Ujenzi wa kituo hicho cha afya uliibuliwa na wananchi wenyewe baada ya kuona wanapata adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya na kwa awamu ya kwanza yanajengwa majengo ya wagonjwa wa nje, kufulia, maabara na wodi ya wazazi ya kisasa.

Aidha, Mwenge wa Uhuru umezindua mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Chifunfu wenye thamani ya Bilioni 2.9 fedha kutoka mpango wa maendeleo ya Maji (WSDP) uliotekelezwa na mkandarasi Emirate Builders Co. Ltd ambapo kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru amewaagiza RUWASA kuongea vituo vya kutekea maji ili wananchi wote 31,423 katika vijiji vya Chifunfu, Lukumbi na Nyakahako wapate maji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti