• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MADARASA 11 YA GHOROFA NYAMAGANA

Posted on: August 25th, 2025

Leo Agosti 25, 2025 Mwenge wa Uhuru umezindua mradi wa madarasa 11 yaliyojengwa kwa mfumo wa ghorofa katika Shule ya mchepuo wa kiingereza ya Nyanza katika mtaa wa Balewa iliyopo Halamshauri ya jiji la Mwanza huku ukigharimu fedha zaidi ya Tshs. Milioni 659.

Akiongea baada ya uzinduzi huo, kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Bw. Ismail Alli Ussi amewapongeza Wilaya ya Nyamagana kwa kutekeleza mradi wenye ubunifu uliookoa fedha zaidi ya Tshs. Milioni 132 endapo madarasa hayo yangejengwa kwa mfumo wa kawaida kwani limetumika eneo la M³ 81 pekee.

Aidha, kiongozi huyo amewasifu viongozi wa halmashauri hiyo kwa kuokoa msongamano hadi uwiano wa wanafunzi 60 kwa darasa na kwa kuongeza usajiri wa wanafunzi kutoka 110 (2022) hadi 644 (2025) jambo linaloisaidia halmashauri kupata fedha za uendeshaji hadi bilioni 3 kwa mwaka.

Bw. Ussi amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauru yaJiji la Mwanza kwa kutoa fedha za kujenga madarasa hayo kwani ameonesha utii kwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani mradi huo unasawili adhma ya kuhakikisha kuwa wanafunzi na walimu wanapata mazingira safi ya kujifunza na kufundishia.

“Ombi langu kwa vijana wa klabu ya kupambana na kuzuia rushwa tuliyoizindua leo, nendeni mkasome kwa bidii na kusimamia uadilifu na kutojihusisha na rushwa bali mkawe dira ya mapambano ya suala udhalimu huo pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya.” Amesema kiongozi huyo.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amebainisha kuwa mradi huo unahusisha pia ujenzi wa Jengo la Utawala, matundu 58 ya vyoo pamoja na njia ya kupanda na kushuka kwenye jengo hilo kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti