• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

NAIBU WAZIRI PINDA KUZINDUA KLINIKI YA ARDHI MWANZA

Posted on: March 11th, 2024

NAIBU WAZIRI PINDA KUZINDUA KLINIKI YA ARDHI MWANZA


*RC Makalla amkabidhi kitabu cha ushughulikiaji kero alioufanya katika kila Wilaya*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo Machi 11, 2024 amempokea Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi Mhe. Geofrey Pinda ambaye mchana wa leo atazindua Kliniki ya Ardhi kwenye Viwanja vya Nyamagana Jijini Mwanza itakayodumu kwa juma moja kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Akizungumza kwenye kikao kifupi kilichofanyika Ofisini Kwake Mkuu wa Mkoa ameipongeza Wizara ya Ardhi kwa kuamua kusikiliza wananchi hususani kwenye majiji na akabainisha kuwa Ofisi yake inaendelea na zoezi la usikilizaji kero za wananchi katika kila wilaya.

Makalla amesema katika kipindi cha mwezi Septemba na Novemba mwaka 2023 amefanya ziara katika kila wilaya Mkoani humo ambapo amewasikiliza zaidi ya wananchi 900 na kwamba asilimia 80 ya kero zilizowasilishwa kupitia mikutano yake ya hadhara zilikua ni za sekta ya ardhi hususani uwepo wa hati kinzani na madai ya fidia.

Katika kufafanua hilo Mhe. Makalla amemkabidhi Naibu waziri huyo kitabu cha kero na utatuzi wake kilichojumuisha wilaya zote ambapo ametoa wito kwa wizara kukitumua katika kufanya maamuzi yanayohusu migogo ya ardhi ambayo utatuzi ulishafanya ili kuwa na uelewa wa pamoja.

Naibu waziri Pinda ametumia wasaa huo kuipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kazi nzuri ya kusikiliza kero za wananchi na amemhakikishia ushirikiano na wizara yake katika kuwatumikia wananchi hususani ushughulikiaji wa haki wa kero za ardhi uliokithiri zaidi kwenye majiji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti