• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

OMBENI FEDHA SERIKALI KUU MMALIZIE UJENZI JENGO LA HALMASHAURI:RAS BALANDYA

Posted on: September 14th, 2024

OMBENI FEDHA SERIKALI KUU MMALIZIE UJENZI JENGO LA HALMASHAURI:RAS BALANDYA


Halmashauri ya wilaya ya Sengerema imetakiwa kuomba fedha iliyobaki Serikali kuu shs mil 369 ili kulikamilisha jengo la Halmashauri hiyo lililogharimu shs bilioni 3.5

Jengo hilo chini ya mkandarasi Suma JKT hadi sasa lipo nyuma ya muda kutokana na makabidhiano kutakiwa kufanyika Juni mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na changamoto ya mifumo ya fedha.

Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana akiwa katika ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani humo amesema juhudi za haraka zifanyike ili fedha hizo zifike na kuanza kutoa huduma bora kwa wananchi.

"Mpango wa ujenzi wa jengo hili jipya ni baada ya kuonekana ufinyu wa jengo la zamani ambao unashindwa kutoa huduma sahihi kwa wananchi,hivyo mkurugenzi Bw.Binulu Shekidele hakikisha fedha hizo mnapata na huduma zote zitolewe humo",Katibu Tawala wa mkoa.

Mhandisi wa halmashauri hiyo Elias Mwita amebainisha ujenzi wa jengo hilo ulianza Machi mwaka 2023 na kutakiwa kukamilika mwaka huu lakini changamoto ya mifumo ya fedha na ubadilishaji wa mchoro wa ujenzi umechangia ucheleweshaji huo.

Hali kadhalika mtendaji huyo wa Mkoa ameagiza pia ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya inayojengwa na Ofisi yake kwa gharama ya zaidi ya shs milioni 400 ikamilike mwaka huu baada ya kuifanyia ukaguzi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti