• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

ONGEZENI BIDII KATIKA UTAFITI WAKULIMA WAPATE MBEGU BORA: RAS BALANDYA

Posted on: February 19th, 2024

ONGEZENI BIDII KATIKA UTAFITI WAKULIMA WAPATE MBEGU BORA: RAS BALANDYA


*Awataka TARI kutoa mbegu kwa wingi na kwa wakati kwa wakulima*


*Apongeza kwa Utafiti utakaoongeza tija na mnyororo wa thamani kwa mazao ya Maharage,Mtama na Karanga*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana ameitaka Taasisi wa Utafiti wa Kilimo TARI kuongeza bidii katika jukumu lao ili kuwepo na tija kwa wakulima kupata mbegu bora wakati wote wa kilimo.

Akifungua leo mkutano wa Wadau wa mazao ya Maharage, Mtama na Karanga kwenye Hotel ya Gold Crest, Balandya amesema bado mkulima anakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na kumrudisha nyuma katika malengo yake.

Amesema mikoa ya Kanda ya Ziwa ni maeneo mazuri katika uzalishaji na ufanyaji wa biashara hasa mazao ya Maharage, Karanga na Mtama hivyo mkulima anatakiwa kujengewa mazingira bora kuanzia Pembejeo na mbegu bora.

"Nawapongeza TARI na washirika wenu kwa kufanya utafiti na leo kuleta mrejesho, hii ni nafasi nzuri kuanzia kwa wafanyabiashara na wakulima kwani ni matokeo yatakayoongeza tija ya uzalishaji na mnyororo wa thamani," Balandya.

Meneja wa TARI Kanda ya Ziwa Mpoki Shimwela amebainisha Utafiti huo ulianza Juni mwaka 2023 kwa lengo la kuhakikisha wanapata mbegu bora itakayoweza kustahili ukame hasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

"Ndugu mgeni rasmi kwa kutambua umuhimu wa mazao haya wataalamu wetu wamefanya utafiti kwa kuwazungukia baadhi ya wafanyabiashara na tulichofanya ni kuboresha zaidi mbegu husika ili iwe na tija kwa mkulima",Mpoki.

Mkutano huo unawakutanisha Maafisa kilimo kutoka mikoa ya Kagera, Kigoma, Shinyanga, Tabora na Mwanza, Wafanyabiashara wa nataka na Taasisi za utafiti wa kilimo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti