• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

PPRA YAWANOA WARATIBU WA WASH MFUMO WA NeST

Posted on: February 6th, 2025

PPRA YAWANOA WARATIBU WA WASH MFUMO WA NeST


Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma-PPRA inaendesha mafunzo juu ya Mfumo wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (NeST) kwa Maafisa ununuzi, Waratibi na Wasimamizi wa mradi  wa Programu za Uendelevu wa Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (WASH) ngazi ya Mkoa na Halmashauri Mkoani Mwanza.

Mafunzo hayo yaliyoanza rasmi leo Februari 06, 2025 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza yamefunguliwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Kusirie Swai na amewataka washiriki hao kufanya manunuzi yote kupitia Mfumo wa NeST.

Ndg. Swai amesema Mkoa wa Mwanza ni miongoni mwa Mikoa inayotekeleza programu ya WASH ambapo utekelezaji wa Programu hiyo unahusisha kufanya manunuzi mbambali kupitia Mfumo wa NeST hivyo ni muhimu kwa wahusika wa manunuzi kuwa na uelewa wa kutosha kuhusu matumizi ya mfumo huo.

“Ndugu Washiriki wa mafunzo, kutokana na umuhimu wa utekelezaji wa programu, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeandaa mafunzo haya ili kuwajengea uwezo wafawidhi wa vituo vitakavyotekeleza mradi kwa mwaka 2024/2025”. Ndugu Swai.

Aidha, amesema mafunzo hayo ni muhimu kwao na wanapaswa kuyatilia maanani ili iwasaidie katika kuwezesha utekelezaji wa programu kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu katika ununuzi wa umma.

Kwa upande wake Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amewapongeza wadau hao kwa kazi nzuri wanayofanya katika kusambaza maji na huduma ya usafi wa mazingira Mkoani humo na akatoa wito kwao kuhakikisha wanakuwa makini ili wakayatumie mafunzo hayo katika kufanya manunuzi kwa njia ya kielektroniki bila kukwama.

Aidha, Mganga Mkuu wamesisitiza umuhimu wa kufuata miongozo ya utekelezaji wa kazi hizo ili kuhakikisha miradi kama vyoo, vichomea taka, matenki ya maji na vinginevyo viweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora unaokusudiwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti