• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

PROF. MKENDA AHIMIZA UWEKEZAJI KATIKA ELIMU YA AMALI KURAHISISHA UTEKEKELEZAJI WA MTAALA MPYA

Posted on: July 23rd, 2025

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa Wanawake wamiliki wa Shule na Vyuo binafsi nchini, kuwekeza katika sekta ya elimu kupitia elimu ya amali hasa miundombinu iyakayosaidia kurahisisha utekelezaji wa mtaala mpya.

Prof. Mkenda ametoa wito huo leo Julai 23, 2025 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa nne wa Chama cha Wanawake Wamiliki wa shule na vyuo Binafsi Nchini, ambapo amewataka Wamiliki hao kushirikiana na serikali katika kutengeneza mkakati wa pamoja wa kuona namna gani wanavyoweza kufanikisha utekelezaji wa elimu ya amali.


“Njooni tuongee, mkitaka kujenga shule za amali, sports academy, njooni tuongee tuone tunawezaje kusaidia”.

Prof. Mkenda amesema dhamira ya serikali ni kuona wanafunzi wanaopatiwa ujuzi wanakuwa na ubora wa kimataifa ambapo itawasaidia kiweza kufanya kazi mahali popote pale duniani.

Akitoa salamu za Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda amesema Mkoa wa Mwanza ni Mkoa wa kimkakati hali iliyoipelekea Serikali ya awamu ya sita kuwewekeza zaidi ya shilingi bilioni 196 katika kujenga miundombinu na uratibu wa shughuli za elimu.


“miundombinu ya elimu imeboreshwa ambayo imesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa umbali wa kutembea kwenda shule, msongamano wa wanafunzi madarasani, kuwezesha mazingira bora zaidi kwa walimu na wanafunzi”.

Elimu ya amali ni njia ya elimu inayolenga kuwafundisha vijana ujuzi wa vitendo unaohitajika moja kwa moja kwenye soko la ajira, kama umeme, ujenzi, utengenezaji, ufundi mbalimbali, TEHAMA, sanaa na kilimo


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti