• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

PROF. NAGU AHITIMISHA MKUTANO WA MWAKA WA TATHIMINI NA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA

Posted on: July 5th, 2025

Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Afya) Prof. Tumaini Nagu amehitimisha rasmi mafunzo ya mwaka wa tathimini na Utekelezaji wa huduma za Afya na usafi wa mazingira katika Mikoa na Halmashauri Mkoani Mwanza.

Mafunzo hayo yaliyoanza julai 2 yamehitimiswa Leo julai 5, 2025 katika ukumbi wa rock city mall ambapo mafunzo hayo yenye Lengo la kutoa fursa, kutathimini hali ya afya katika mikoa na kuweza kubainisha maeneo yaliyofanya vizuri, maeneo yenye changamoto na sehemu zinazohitaji ubunifu.


Aidha, Pro. Nagu amewataka washiriki wote kutumia mafunzo hayo kuitendea haki kwa kutoa taarifa kamili na Sahihi kwa jamii Ili kuweza kupunguza magonjwa ya mlipuko, huku akiwataka kuwa kipaumbele kusemea maeneo yenye changamoto ili yaweze kupatiwa ufumbuzi mapema.

“ Mafunzo haya ya siku nne naimani tutayatumia vizuri, tuendelee kuhimizana kutoa taarifa kwa wakati Ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko yasiendelee”. Amesema Nagu.


Hata hivyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba ametumia jukwaa hilo kuomba waganga wakuu wengine pia kushiriki katika vikao vingine vijavyo kwa lengo la kushirikana na maafisa hao, huku akiwataka kwenda kusambaza kile walichojifunza kwa maana afua tiba ni muhimu Ili kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili jamii.

“Naaminii tukiendelea kufanya kazi kwa pamoja tutatoka wote katika afua za Afya na usafi wa mazingira”. Ameeleza Dkt. Jesca.


Kwa upande wake, Mratibu Mkuu wa mkutano wa mwaka wa tathimini ya utekelezaji wa huduma za afya na usafi wa mazingira katika mikoa na halmashauri Ndg. Seleman Yundo amewasihi washiriki kufuata sheria na taratibuu za wizara, na kuzingatia miiko na taratibuu zote za kazi kwa maslahi mapana ya jamii na Nchi kwa ujumla.


Mkutano huo mwenye lengo la kuwapa elimu na ujuzi maafisa Afya hao wa mikoa na halmashauri ulikuwa na kauli  mbiu ya “utekelezaji wa afua za Afya na usafi wa mazingira NI msingi wa kinga endelevu dhidi ya magonjwa na Ustawi wa Jamii”.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti