• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAIS SAMIA AONGOZA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWANZA

Posted on: October 14th, 2024

RAIS SAMIA AONGOZA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWANZA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo  Oktoba 14, 2024 amewaongoza watanzania katika kilele cha kishindo cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba uliopo kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.

Akiongea na wananchi Mhe. Rais amewataka watendaji katka Halmashauri zote nchini kutekeleza miradi kizalendo kwa kuzingatia sheria na kanuni na katika kuwainua vijana amebainisha kuwa umefika wakati sasa kwa halmashauri nchini kununua vifaa kutoka kwenye kundi hilo ili kuwainua kiuchumi kwa kuongeza kipato.

Akitoa risala kwa Mhe. Rais, kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 Godfrey Mnzava amesema wananchi kote nchini wametoa salamu za pongezi kwa Serikali kwa kuboresha huduma za kijamii kama maji, elimu, afya pamoja na miundombinu ya barabara na wameomba kuboreshewa sehemu chache zenye changamoto.

Aidha, amebainisha kuwepo kwa kasoro kwenye miradi 16 kati ya zaidi ya miradi 1500 ambayo Mwenge wa Uhuru umetembelea mwaka huu na kwamba TAKUKURU wamegizwa kufuatilia nyaraka za miradi hiyo ili waliohusika kufanya ubadhirifu wachukuliwe hatua ikiwemo kutofuata taratibu za manunuzi ya umma.

"Pamoja na ukaguzi wa miradi, kupitia mikesha lita 5,832 za damu zimekusanywa kutokana na uchangiaji wa wananchi ambazo zitasaidia wahitaji kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini." Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu) Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Mwenge wa Uhuru mkoani humo umefika kwenye miradi 53 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 99 na akabainisha kuwa asilimia 30 ya wananchi wamejiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa mnamo novemba 27, 2024.

Hali kadhalika Rais Samia amemkabidhi Mwenge wa Uhuru na Bendera Mkuu wa majeshi ya ulinzi JWTZ ,Jenerali Jacob Nkunda ili ukapandishwe kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro kama ishara ya kutimiza miaka 60 tangu kupandishwa hapo juu


Mwenge wa Uhuru umekagua nchi nzima miradi yenye thamani ya shs trilioni 11

Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu zilianza mkoani Kilimanjaro kwa kuzindua mradi wa sekta ya Elimu kwenye manispaa ya Moshi tarehe 02 Aprili, 2024 na kuhitimishwa jana katika halmashauri ya manispaa ya Ilemela-Mwanza kwa kuzindua ujenzi wa barabara ya lami nzito (Asphalt Concrete) ya Kiyungi (0.49).

Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu  uliokagua miradi ya jumla ya shs trilioni 11 nchi nzima, "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa endelevu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti