• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAIS SAMIA KUJENGA KIVUKO KIKUBWA KOME- NYAKALILO : RC MAKALLA

Posted on: January 16th, 2024

RAIS SAMIA KUJENGA KIVUKO KIKUBWA KOME- NYAKALILO : RC MAKALLA


*Rais Samia atoa Bilioni 8 kujenga kivuko hicho*


*Kivuko kikubwa kubeba watu 400, magari 22*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inajenga kivuko kikubwa cha kisasa kitakachosafirisha abiria na mazigo katika kisiwa cha Kome hadi Nyakalilo katika Halmashauri ya Buchosa- Sengerema.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Nyamiswi kisiwani Kome leo tarehe 16, Januari 2024 Makalla amesema Serikali imedhamiria kuwaondolea adha ya usafiri wananchi wa maeneo hayo na imeamua kutenga zaidi ya Bilioni 8. kwa ajili ya kujenga kivuko hicho.

Amesema kivuko hicho kinachotarajiwa kukamilika mwezi Aprili mwaka huu kitakua na uwezo wa kubeba tani 170  na kwamba kitasaidia kusafirisha mazao, bidhaa za uvuvi, magari na watu kwa pamoja tofauti na sasa ambapo wanatumia kivuko kidogo ambacho hakikidhi mahitaji.

Aidha, ametumia mkutano huo kuwapongeza wananchi kwa kupata shule ya Sekondari ya kisasa ya Buhama ambayo itakua suluhu ya watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule na amewaagiza TANESCO, RUWASA na TARURA kushirikiana na uongozi wa shule hiyo kufikisha huduma hizo muhimu.

Vilevile, Mhe. Makalla amewataka wananchi kuachana na uvuvi haramu kwenye ziwa Victoria ili kulinda rasilimali za ziwa hilo na kuruhusu mazalia ya samaki kwa ustawi wa sekta hiyo muhimu kwa uchumi wa kanda ya ziwa na amewataka wananchi kulinda amani baina yao.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti