• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA AHIMIZA MAONI BORA SERA YA UCHUKUZI KWA MAENDELEO YA TAIFA

Posted on: November 15th, 2024

RAS BALANDYA AHIMIZA MAONI BORA SERA YA UCHUKUZI KWA MAENDELEO YA TAIFA


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana leo Novemba 15, 2024 amefungua kikao cha kupokea maoni kuboresha sera ya uchukuzi na kuwahimiza washiriki kutoa maoni kwa uwazi yatakayoleta tija ya maendeleo nchini.

Akizungumza na washiriki hao kwenye ukumbi wa Rock City Mall Mtendaji huyo wa Mkoa amebainisha kuwa eneo la uchukuzi linalojumuisha usafiri na usafirishaji linagusa uchumi wa nchi hivyo mchango wa maoni yao utakwenda kuboresha sehemu zote zilizoonesha mapungufu.

"Nawashukuru Wizara ya Uchukuzi kwa kufanya zoezi hili, sisi hapa Mwanza yapo maeneo muhimu ya kiuchumi kama uwanja wa ndege, usafiri wa Meli na ule wa treni ya kisasa SGR yote hayo yanajitaji kupata muingiliano mzuri na Mataifa mengine ili kukuza uchumi wa nchi na maendeleo ya wananchi",Balandya.

Aidha amewataka washiriki hao kutoka makundi mbalimbali  Serikalini na sekta binafsi kuona umuhimu wa sekta hii ambayo inachagiza ukuaji wa sekta nyingine ambapo mwaka 2022 ilikuwa kwa   asilimia 3.80 na kuchangia pato la Taifa 6.70%.

"Sera ya mwaka 2003 baada ya kufanyika tathmini mwaka jana imegundulika na mapungufu kadhaa ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi kwa lengo la kuboresha sekta ya uchukuzi,"Bi Devotha Gabriel, Mkurugenzi ufuatiliaji na tathmini, Wizara ya Uchukuzi.

Washiriki hao wanaotokea  sekta ya usafiri na usafirishaji wanatoka mikoa ya kanda ya ziwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti