• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA AHIMIZA ULIMAJI WA KISASA WA PAMBA UWAFIKIE WAKULIMA WENGI NCHINI

Posted on: July 5th, 2024

RAS BALANDYA AHIMIZA  ULIMAJI WA KISASA WA PAMBA UWAFIKIE WAKULIMA WENGI NCHINI


Taasisi ya Utafiti wa kilimo nchini TARI na Bodi ya Pamba zimetakiwa kufanya juhudi ili utaalamu wa ulimaji wa zao la Pamba uwafikie wakulima wengi nchini tofauti na ilivyo sasa.

Akizungumza leo Julai 05, 2024 wakati wa kufunga mkutano wa Kimataifa wa kujadili utekelezaji wa mradi wa Cotton Victoria kwa upande wa Tanzania, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana amebainisha pamoja na mradi huo unaofadhiliwa na Taasisi ya Maendeleo ya ABC kutoka nchini Brazil kuonesha tija kwa wakulima lakini bado idadi kubwa haijafikiwa.

"Tuna wakulima wa Pamba hapa nchini laki sita lakini waliofikiwa na utaalamu wa ulimaji wa kisasa ni laki mbili na kumi tu, hivyo ni dhahiri bado kuna jitihada za ziada zinatakiwa kufanyika", amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akitoa hotuba ya ufungaji.

Balandya amewapongeza wafadhili wa mradi huo ambao umekuwa na tija kwa wakulima kutoka kulima kwa upandaji wa awali wa sentimita 90 kwa 40 na kutoa mimea 22,222 na sasa ulimaji wa sentimita 60 kwa 30 na kutoa mimea 44,444.

"Mradi huu pia umewajengea uwezo wataalamu wetu wa kilimo wakiwemo Maafisa Ugani, TARI na Bodi ya Pamba huku wakulima wa Pamba wapatao 6522 kutoka Mwanza wakifaidika na utaalamu huo", Marco Mutunga, Mkurugenzi wa Bodi ya Pamba.

Mradi wa Cotton Victoria unatekelezwa katika nchi za Tanzania,Kenya na Burundi na unamalizika mwakani.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti