• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Balandya aishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kusimama imara kuviimarisha vyama

Posted on: November 27th, 2023

*RAS Balandya aishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kusimama imara kuviimarisha vyama*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana leo Novemba 27, 2023 amewapokea Ofisini kwake na kufanya mazungumzo mafupi na makamishna kutoka Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania na kuwashauri kuvisimamia imara vyama hivyo kwani ndiyo vyombo madhubuti vya kuinua uchumi wa mkulima na Taifa kupata pato.

Katika mazungumzo hayo Balandya amesema chama kama cha Nyanza bado kina nafasi ya kumsimamia na kumuendekeza mkulima wa zao la Pamba na mengineyo kama kitajengewa msingi imara wa namna ya kujiendesha kisasa na siyo kimazoea.

"Ujio wenu naamini mtajionea changamoto mbalimbali za chama cha Ushirikia cha Nyanza ambazo zimechangia kukiyumbisha,Serikali imeonesha nia njema ya kukipa nguvu na kujisimamia,nawaombeni muda mtakao kuwa hapa mzifanyie kazi changamoto mtakazo ziona,"amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akizungumza na makamishna hao.

"Chama cha Ushirika cha Nyanza tunatambua umuhimu wake na mchango wake,hivi sasa tupo mbioni kuwa na Benki ya Ushirika naamini tutatoa elimu ya kutosha ili iwe na hisa kubwa huko,"Colins Nyakunga,Naibu Mrajisi kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika.

"Ziara yetu ya siku mbili tukiwa hapa Mwanza tutahimiza sana chama hiki kiwe na wingi wa wanachama wake ambao ndiyo mtaji wa kuwa na nguvu pia kitumie vizuri fursa za mali zake kujiongezea kipato,"Richard Mayongela,Kamishna wa Tume

Ujumbe huo ambao upo Mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kujitambulisha na kuvitembelea vyama na wanachama kabla ya kuendelea na ziara yao mikoa ya Simiyu na Shinyanga.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti