• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Balandya atembelea maeneo hatarishi na Kipindupindu na kutoa maagizo

Posted on: February 14th, 2024

RAS Balandya atembelea maeneo hatarishi na Kipindupindu na kutoa maagizo


*Awaagiza Wavuvi wa Mwalo wa Mihama kuimarisha miundombinu ya Maji taka*


*Awataka Maafisa afya kuwachukulia hatua kali wasiokuwa na vyoo bora*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana leo Februari 14, 2024 amefanya ziara fupi ya kutembelea maeneo yaliyokumbwa na ugonjwa wa Kipindupindu Mihama kata ya Kitangiri na Kabuhoro-Kirumba na kuwataka maafisa afya kuwachukulia hatua za kinidhamu wale watakaobainika kutozingatia kanuni za usafi kwenye maeneo yao.

Mtendaji huyo wa Mkoa aliyeambatana na Mganga Mkuu wa Mkoa Thomas Rutachunzibwa pamoja na Maafisa wa afya kutoka Halmashauri ya Ilemela amebaini kasoro kadhaa ikiwemo ukosefu wa choo bora na kutokuwepo kwa vifaa vya kunawa mikono licha ya eneo hilo kuwa na muingiliano wa watu wengi.

"Ndugu zangu nimefika hapa na kujionea hali isiyoridhisha, nawaagiza viongozi wote kwenye eneo hili rekebisheni haraka kasoro zote mkianzia miundombinu ya maji taka na vifaa vya kunawa mikono," amesisitiza Balandya wakati akizungumza na wakazi wa eneo hilo wengi wao wakiwa ni wavuvi.

Amewataka Maafisa afya kuwa wakali na kuchukua hatua bila kusita kwa wanaokwenda kinyume na miongozo iliyotolewa na kuzidi kutoa elimu kwa wananchi.

"Nimetembelea kaya kadhaa maeneo haya ya Mihama nimeona wasivyo zingatia usafi na nyumba nyingi hazina vyoo bora na nyingine hazina kabisa hii ni hatari na kukwamisha zoezi la kutokomeza ugongwa wa Kipindupindu," Katibu Tawala mkoa

Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa amesema Ofisi yake imejipanga kuudhibiti ugonjwa huo na kuwataka watumishi wengine  kuongeza bidii katika maeneo yao ili kudhibiti maambukizi.

"Ndugu Katibu Tawala hii ni vita na jiografia ya Jiji letu wakazi wengi wapo maeneo karibu na mialo na milimani hivyo siyo sawa kuiwachia Idara ya afya pekee kupambana na hili, Maafisa uvuvi, MWAUWASA,TARURA na wengineo ni lazima kila mmoja awajibike ipasavyo katika eneo lake naamini tutafanikiwa," Dkt. Rutachunzibwa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti