• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA ATOA WITO KWA JESHI LA POLISI KULINDA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU

Posted on: September 22nd, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana ametoa rai kwa jeshi la polisi na waandishi wa habari kuzingatia maadili, miiko, sheria na taratibu kusimamia uchaguzi Mkuu wa 2025 uwe wa amani.

Ametoa wito huo wakati akifungua mafunzo kwa jeshi la polisi na waandishi wa habari kuhusu haki za binadamu na wajibu waakati wa uchaguzi mkuu 2025 yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Balandya amesema kwa pamoja jeshi hilo na wanahabari wanalazimika kutimiza wajibu wao wa kulinda amani na kuhabarisha umma juu ya mwenendo wa uchaguzi kabla, wakati na baada ya uchaguzi katika kuelekea kuwapata viongozi.

Aidha, ametoa rai kwa makundi hayo kusimamia kampeni za wagombea nafasi mbalimbali zinazoendelea vizuri ili kuhakikisha wananchi wanasikiliza sera kwa utulivu na kujiandaa kwa uchaguzi mkuu ifikapo Oktoba 29, 2025.

Akitoa salamu kwa niaba ya Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Jaji Msataafu Mathew P. Mwaimu Bi. Saumu Mgeni ambaye ni Afisa Uchunguzi -Sheria amesema lengo la mafunzo hayo ni kuongeza uelewa kwa jeshi la polisi na waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria wakati wa uchaguzi.

Amesema jeshi hilo lina wajibu wa kusaidia kuzingatia haki na misingi hiyo wakati wote kwa kujiepusha na migogoro isiyo ya lazima na kuhakikisha wanalinda uhuru wa haki na amani kwa kulinda mali za wananchi.

Mafunzo hayo yanatolewa katika Mikoa 14 ya Tanzania Bara na mikoa mitano kwa upande wa Visiwani ambapo kwa upande wa mkoa wa Mwanza mafunzo yanawakutanisha washiriki 60 (Jeshi la Polisi 40 na Waandishi wa Habari 20).

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti